Naona unachanganya mada. Hoja si wageni kufanya kazi katika nchi Ila kuwepo kwa wageni ambao wanafanya kazi ambazo zingefaa kufanywa na watanzania wenyewe.
Kwa mfano inakuwaje uwe na mgeni anafanya kazi serikalini na mhusika anajifanya ni mtanzania au umeona wapi mtanzania akafanya uhamiaji wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.