myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 146,860
- 652,481
Kila mtu ana upeo wake.....Huu ndio unaitwa GT. Sio mtu anakuja na habari zake za wema na hamisa.
Jinga kabisa
Kila mtu ana upeo wake.....Huu ndio unaitwa GT. Sio mtu anakuja na habari zake za wema na hamisa.
Jinga kabisa
😂😂😂😂, jamaniHuu ni umbea, mambo ya shetani na Eva yanakuhusu nini?
Anataka Hansard
Hahaha!! Kweli mkuu hizi ni fairy tales tu...Huyu shetani ni lini alianza kula mademu..
Hichi kitu akijawahi kuexist kwa namna ya mtazamo wenu au tafsiri...
Eva/Hawa hawajawahi kuexist popote pale, shida haya maandishi mnayasoma kama story za mapenzi...
Mkuu kama mbegu za kibinadamu zilikuwa corrupted,je Bikira Maria alikuwa uzao wa Nani?Na ndiyo maana YESU KRISTO mwokozi wa Wanadamu hakuwa "uzao" wa mwanadamu, KRISTO hakutokana na mbegu za kiume za kibinadamu sababu mbegu hizi zilishakuwa "corrupted" na tunda alilokula Adamu. Ili YESU KRISTO aweze kumshinda shetani na atuokoe sisi kutoka kwenye dhambi na kifo ilibidi Roho yake ishushwe moja kwa moja kutoka Mbinguni na kuingizwa kwenye tumbo la Maria tena akiwa bikira kabisa.
Hivyo YESU akachukua mwili wa kibinadamu kutoka kwa Maria lakini akiwa na ROHO ya MUNGU. YESU alikuweko Mbinguni kwa MUNGU kabla hajazaliwa duniani. Hili ni fumbo, wenye hekima na akili wataelewa.
Mie nadhani tunda la katikati itakuwa ni tigo
kwel mkuuHuu ni umbea, mambo ya shetani na Eva yanakuhusu nini?
hahahahah nimecheka sanaKwa hiyo unataka clip ya mazungumzo yao?
😂😂😂😂Mkeo akitongozwa na njemba ikamuhonga atakacho kwambia ni flani kanihonga mengineyo siri yake
Eti balehe khaaLogic ni kwamba hakuna cha shetani wala ibilsi waka tunda la kati...
Balehe zao ndiyo zimewafanya wafanye matusi...
Cc: mahondaw
Kwenye mahusiano huwa kuna siri nyingi zisizosemwa kuanzia kutongozana mpaka inapofikia hatua ya kuvuana chupi
Matokeo ya kitendo hicho ndio huwa na sauti kubwa kuliko mengine yote yaliyotokea mwanzoni
WARNING: This thread is highly Critical:
1. Eva aliongea na Shetani ana kwa ana, akatuletea tu Tunda...tukaonekana tumemsaliti Mungu wetu, Je, ni nani Msaliti halisi?
2. Ni wapi nitapata maongezi ya Eva na Shetani ambayo hayajaandikwa kwenye Biblia? Ikumbukwe maongezi yao tulioyonayo sasahivi ni Mrejesho wa mazungumuzo yao na sio Transcript. Kama watu wanaweza kujua Binadamu wa kwanza aliishi Tanzania, kupata maongezi haya sio ishu.
3. Dini, Siasa na Fedha: nani muhusika mkuu wa haya matabaka?
Kwenye mahusiano huwa kuna siri nyingi zisizosemwa kuanzia kutongozana mpaka inapofikia hatua ya kuvuana chupi
Matokeo ya kitendo hicho ndio huwa na sauti kubwa kuliko mengine yote yaliyotokea mwanzoni
Tcra watakuwa wameyahifadhiWARNING: This thread is highly Critical:
1. Eva aliongea na Shetani ana kwa ana, akatuletea tu Tunda...tukaonekana tumemsaliti Mungu wetu, Je, ni nani Msaliti halisi?
2. Ni wapi nitapata maongezi ya Eva na Shetani ambayo hayajaandikwa kwenye Biblia? Ikumbukwe maongezi yao tulioyonayo sasahivi ni Mrejesho wa mazungumuzo yao na sio Transcript. Kama watu wanaweza kujua Binadamu wa kwanza aliishi Tanzania, kupata maongezi haya sio ishu.
3. Dini, Siasa na Fedha: nani muhusika mkuu wa haya matabaka?
Kisulisuli kilianzia hapoInawezekana yule dada alifanya ngono na shetani wakati li Adam likiwa limelala fofofo.