Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,921
- 831,347
- Thread starter
- #341
Mmh.... Duuu















Baada ya yule mdada wa nyumbani kupandisha na kuzungumza alozungumza, bi mkubwa yalimuingia sasa akilini na kabla ya huyo mdada kuongea kuna siku mama alikuwa anakwenda kwa huyo mganga, kaishika njia ya kwenda kwake akasikia sauti inamuita. Kugeuka akakuta ni kijana alowahi kuishi kwa huyo mganga wakashindwana akafukuzwa, akamuambia achana na huyo mama hakuna mganga hapo na familia yako utaitesa mno!!!
Sasa alipokuja kuunganisha na yale ya majini ya yule dada wa hom akili ikamfunguka







