Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 58,636
- 220,353
Kaka umenikumbusha kusali
Kaka umenikumbusha kusali
ahsante.Nitarejea nikitulia
usiache kuntag pleas mkuuNitarejea nikitulia
Ndio unaweza ku meditate lakini focus yako ikiwa ni kwa Mungu na bila kuchanganya na zile imani nyingine..Nitarejea nikitulia
Bwana mtoa mada naona hii hali ya kutoa uzi mida mibovu unawafanya watu wanacomment huku wanausingizi hivi kweli leo hii wewe wakuitwa mtumishi wa Bwana?? Inamaana tunguli huna tena?? Anyway ngoja nivute shuka nlale
💯Pamoja na kukuondolea kinga ya kiroho,wanakuacha maskini pia,maana vyote hivyo,maji,mafuta,chumvi,kitambaa,hawapewi bure inabidi ununue.wanaita kupanda mbegu.
Mkuu je ile tiba mbadala ya chumvi haiwezi kupumguza kinga kiroho?Sahihi kabisa ukishaingiza nguvu hasi yoyote kwenye maisha yako, hapo ndio mwanzo wa vita ya kiroho kwakuwa utataka kufanya mambo mabaya