Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,782
- Thread starter
- #441
Karibu sana tupate kuelimishana.. Hope utakuja the soonestKifo kwa baati mbaya wengi hawakijui kiundani. Kuna hatua tano za kufikia ukamilifu wa kifo, ukweli usiojulikana na pasipo kujua watu wengi wamekuwa wakizikwa wakiwa hai. kama hatua tano za kifo hazikukamilika matukio kama maiti kuamka na kutembea, kupiga chafya, kutingishika, kutoka jasho sana na mengine mengi hujitokeza na kuna uwezekano mtu mapigo ya moyo yakashuka, hawezi kufumbua macho wala kuongea walakutikisika lakini anasikia kila kitu mnachoongea . Sababu mojawapo inayofanya watu kudhani wamekufa ni woga wa kuangalia maiti, utaalamu au vifaa duni vya kupimia.
Asilimia kubwa ya watu wanaotajwa wamefufuliwa kwa njia yoyote ile (kama maombezi) wengi wao walikuwa hawajafa.
Nikipata muda nitakuja kufafanua hatua tano za kufa, na wanaofufuka wanafufukaje
Jr