Ha ha haa.
Naona umeandika kwa jaziba sana. Me sikubaliani na uuzwaji na matumizi ya madawa ya kulevya. Ila kwa wanao taka kutokomeza hili naona kama wanatafuta KIKI tu
Alikamatwa mtu mmoja anaitwa Shkuba, huyu alikuwa bwana unga ambaye hata FBI walimfahamu. Na alipokamatwa alikabidhiwa haraka kwa FBI. Ilikuwa vita kati ya Polisi dhidi ya Polisi. Ni tukio la mwaka mmoja tu uliopita.
Unaweza kusema hiyo ilikuwa hatua kubwa kwa kikosi kazi kilichoongozwa na...
Morning rafk zangu.habari ya jumapili. Leo naomba niingie kwenye kilimo cha mchicha na faida zake.
Mchicha ni mojawapo ya mboga za asili ambayo hulimwa katika mikoa yote hapa nchini. Mboga hii ina vitamin A, C, na madini aina ya chokaa na chuma kwa wingi Majani ya mchicha huliwa baada ya...
Kwanza watoto wa nguruwe wanapozaliwa siku ya kwanza mpaka ya tatu wanatakiwa wachomwe iron mara moja then wakimaliza wiki moja wanatakiwa wachomwe Gentaject pamoja na introvite hizo ni antibiotic na vitamin ambazo chanjo ya kutetemeka
Kwa wafugaji zingatia hilo
Kikwete alisema maneno haya kwenye sherehe za maadhimisho ya miaka 55 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wakati akizungumzia mambo anayokusudia kuyafanya akiwa mkuu mpya wa taasisi hiyo.
Nanukuu [emoji40]
“Unapokuwa mpya ni lazima watu waone kuna mambo mapya. Lakini mapya ya maendeleo,”...
ifahamike kwamba, ufugaji na kilimo ni uwekezaji mzuri hasa kwa wakulima wenye mashamba madogo na hata yule mkazi wa mjini ambaye anaweza kulitumia eneo lake la uwani kufuga.
Ifahamike pia kwamba, ukulima ni sawa na biashara na biashara nzuri lazima iwe na mpangilio mzuri hasa kwa matumizi ya...
FAIDA ZA UFUGAJI WA KUKU KWA NJIA YA KIENYEJI
Kuku huleta faida kwa jamii. Zaidi ya hayo, ufugaji wa kuku na nguruwe waweza kuimarishwa pasipo gharama nyingi ukilinganisha na mifugo wengine.
· Hutupatia fedha kwa kuuza nyama na mayai
· Mayai ni chakula kilicho na madini muhimu na kisicho...
Hapana sikuwa na maana ya kwamba idadi ya kuku wote. Nina kuku specially nimewatenga kupata hayo mayai. Kuku wangu mmoja ana uwezo wa kutaga mayai hadi 18. Na wako ambao wanataga mayai hawalalii
Hizo tray 3 ni kwa ajiri ya kupata kuku tu ( vifaranga) na
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.