- Thread starter
- #321
Hapana ufahamu mkuu.Mkuu unajua wapi naweza pata watoto wa nguruwe Mwanza? Naomba msaada wako nahitaji Kama 30-50 , natanguliza shukurani Kama unajua wapi wanauza.
Hapana ufahamu mkuu.Mkuu unajua wapi naweza pata watoto wa nguruwe Mwanza? Naomba msaada wako nahitaji Kama 30-50 , natanguliza shukurani Kama unajua wapi wanauza.
Karibu majichumviMkuu Eberhard, naomba nikutembelee huko Maji Chumvi, naomba nijifunze kutoka kwako ufugaji wa nguruwe. Nina Eneo hapo njovu ekari tano.
Aisee mkuu ni safi sana, nahitaji kuunganishwa ili nijipatie mitiki, na kwa hekari moja miche mingapi yapaswa kupandwa.Usijali mkuu. Nitakupm ili tuwasiliame. Tena kwa yeyote atayetaka mitiki nitamuunganishia miche Kwa sh 300 Kwa mche. Kipindi kipindi Cha kupanda mitiki ni kipindi Cha mvua.
Safi sana mkuu, Hiyo fursa ya kukutembelea tunaikosa tulio mbali Mungu akijaalia uzima na mimi nikiwa karibu nitakutafuta nije kukutembelea mkuu, Mungu azidi kukubariki na kukushushia baraka ufikie malengo yako kaka.Safi jumamosi ijayo nawakaribisha mje kuona project.
TuwasilianeAma kweli umenitia moyo na ujasiri, ingawa mafanikio yanaweza kuwepo au kutokuwepo,
Tulipo fikia vijana ni pazuri,yaani kusubutu, ningependa apatikane mtu au mtaaram atujuze yafuatayo
1) watoto wa nguruwe wanabei gani.
2)gharama ya kutengeneza banda la kawaida
3)gharama za kuwalisha kwa mwezi
4) eneo lenyeukubwa gani unaweza fuga ngurue wangapi
5)wanatosha kuliwa ktk umri gani
nazani mambo haya yatatusaidia.
Asante mkuuHongera sana.
Takribani miaka 8 imetimia tangu ulete uzi huu.Asante mkuu
Wazo zuri mkuu,Mungu akusimamie utimize ndoto yako.Miongoni mwa siku ambazo najivunia kuwa mwanachama wa JF ni leo!
Nikiri kuwa nimepata shule ya maana sana kwa leo, nina eneo la takribani ekari 12 mpango ilikuwa ni kuligawa.
Ekari 2 mazao ya chakula, yaani kuhakikisha kuwa ndani ya mwaka mmoja sinunui mahindi wala maharage kwa ajili ya matumizi ya kawaida ya chakula, ziada nauza kwa ajili ya kununua aina nyingine za vyakula.
Ekari 5 kuzipanda mananasi, kila ekari inaingia karibu miche 3500 nanasi halina tabu sana kwenye kulilea, likiwa tayari unauza ukiwa shamba moja kwa sh 550/ ukipeleka mwenyewe sokoni ni sh 1000/= Hesabu inakuwa hivi miche, 3500 kwa hekari moja mara 5 = 17500, chukulia umepata mananasi 17000 mara 550 (ukiuuzia shamba) = 9,350,000/= (Mananasi si zaidi ya miezi 11).
Ekari 3 natupia mitiki hakiba ya baadae kwa ajili ya makamanda wangu 2, wakifikisha miaka 20 itakuwa tayari kuvuna.
Mifugo ekari 1, kipaumbele ni kuku, mbuzi na ng'ombe. Sasa hivi ukiwa na ng'ombe 4 ulio walisha vizuri kima cha chini ukiwauza wote ni karibu 1.6M, hapo bado kuku, na mbuzi.
Mpango ni kuwa na hekari 40 kabla ya kufikisha 35
Tupe mrejeshoAsante mkuu