Recent content by Don Vito

  1. Don Vito

    CRDB VS NMB: Watani wa Jadi (Simba na Yanga) katika sekta ya Kibenki Tanzania

    Nahisi mwaka huu itacheza kwenye 50~ 58 Tshs per share.
  2. Don Vito

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Unaachwa vizuri tu. Komaa, tena toa hiyo kitu kichwani kua uliongoza. Fanya kama unaingia vitani upya , jiandae vizuri, jiamini mbele ya panel, usisahau kumtanguliza Mungu mbele.
  3. Don Vito

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wakuu kuangalia status inasomekaje ni kukimbiza upepo tu. Mimi nadhani status inasemaga kweli mwanzoni pindi umewekewa "Examination No" na labda pindi umevuka written kwenda oral "Selected for Oral Interview" Zaidi ya hapo, ukweli kuwa ulifaulu oral interview au upo kanzidata husemwa na...
  4. Don Vito

    Je, ni nani kwako aliumiza kichwa zaidi?

    Tim Harford kwenye "50 Things That Made The Modern Economy" anavitaja baadhi -Zege/ Concrete kwenye ujenzi -M-pesa -Diesel Engine -Shipping Container -Light Bulbs -Retirement Schemes -Barcode -Banking -iPhone -Haber - Bosch Process -Antibiotics -Paper -Google -Air Conditioning -Elevator...
  5. Don Vito

    TANZIA Rapa mkongwe wa Hip Hop, Coolio afariki Dunia

    Joined his fellow OG's in Gangsters Paradise
  6. Don Vito

    Miguna Miguna athibitisha kurejea Kenya baada ya Rais Ruto kumpa kibali

    Jamaa alikua declared persona non grata na utawala wa Uhuru.
  7. Don Vito

    TANZIA Malkia wa Uingereza, Elizabeth II afariki dunia akiwa na miaka 96

    Wajuzi wa mambo wanasema '"she is in her final stages"
  8. Don Vito

    Mfano wa barua ya maombi nafasi JKT 2022

    Ukiacha tattoo, mishono na makovu makubwa hizo nyingine hazisumbui
  9. Don Vito

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hamna kitu kama hicho kaka [emoji3], hata ukipata kazi system inaendeleaga tu kucheza hivyohivyo.
  10. Don Vito

    Chakula kipi uliwahi kutana nacho ugenini ukajutia ugeni wako?

    Hahaaa! Pole boss Ladha yake ilikuaje lakini? Ana shombo kama samaki kweli au
Back
Top Bottom