Unaachwa vizuri tu.
Komaa, tena toa hiyo kitu kichwani kua uliongoza.
Fanya kama unaingia vitani upya , jiandae vizuri, jiamini mbele ya panel, usisahau kumtanguliza Mungu mbele.
Wakuu kuangalia status inasomekaje ni kukimbiza upepo tu.
Mimi nadhani status inasemaga kweli mwanzoni pindi umewekewa "Examination No" na labda pindi umevuka written kwenda oral "Selected for Oral Interview"
Zaidi ya hapo, ukweli kuwa ulifaulu oral interview au upo kanzidata husemwa na...
Tim Harford kwenye "50 Things That Made The Modern Economy" anavitaja baadhi
-Zege/ Concrete kwenye ujenzi
-M-pesa
-Diesel Engine
-Shipping Container
-Light Bulbs
-Retirement Schemes
-Barcode
-Banking
-iPhone
-Haber - Bosch Process
-Antibiotics
-Paper
-Google
-Air Conditioning
-Elevator...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.