Tafuta vijana wa kazi wakaibe lila kitu kwenye hilo duka..ndio ushauri wangu.
Tafuta vijana wa kazi wakaibe kila kitu kwenye hilo duka...na usitoe mtaji tena kufungua biashara nyingine.ndio ushauri wangu
.na ujinga wetu wote kwenye jukwaa Letu la kimasikhara ila nakukubali mwamba kwenye maswala muhimu ya kujenga unatia mchango wako... mungu akuzidishie Kila kheri mkuu
Kwani mkitukanana kiswahili mtapungukiwa na nini???mnatuchosha na viinglish vyenu uchwara..batawahedi nyie
Sent from my TECNO LB7 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.