Kwanini Watanzania huwa wana "feel at home" mara tu baada ya kuingia USA?

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
15,118
27,122
Sababu kuu inaweza kuwa nini wadau? how comes mtu upo kwenye "strange land" but still you feel at home. Hata ' home sickness' hakuna!

Mimi sababu ninazo zihisi ni 2, mosi ;kwa sababu mhusika anakuwa tayari yupo Marekani kiakili (mentally) kwa muda mrefu so anapo fika Marekani physically anakuwa tayari alisha kuwa 'mwenyeji' hapo Marekani.

Pili : ni inferiority complex; huyu mtu ana feel proud kuwa kwenye nchi kama Marekani. Ndio maana wengi huwa wanafikia mpaka hatua ya kubadilisha accent. Mwamba kakulia mjini Daslam but miezi sita baada ya kukanyaga ardhi ya Marekani anaanza ku speak ' ebonic' kwa sababu anataka kuji assimilate na wamarekani, anataka kuwa addressed kama "Mmarekani"

Kuna jamaa yangu mmoja alienda Marekani mwaka 2008 kwa programe ya fullbright fellowship. Kwanza kabla hajaenda story zake zilikuwa "aisee nikifika Marekani ntapiga nondo nyie!!" mweeeh kwani hizo nondo huwezi kupiga ukiwa hapa hapa mjini daslamu?

Jamaa akaenda akarudi mwaka 2009, story zake zina taja matukio ya " D.C, Jersey, etc.

Akiwa anafanya kazi kwenye internet cafe net kazi inakuwa kumu harrass mtoa huduma. " Afrika mbona internet yenu ipo slow sana nyie, Marekani ukiwa na cyber yenye internet slow kama hii hupati customers kabisa. Marekani hatujazoea kabisa vitu kama hivi" Mweeh " hamjazoea wewe na nani?"

Mwezi wa kumi na moja, mwaka 2002 sista angu aliniita kula likizo Marekani. I was 17 years old ndo nilikuwa nimemaliza kidato cha nne. Nilikaa hadi January nikarudi. Story zilizagaa mtaani kwamba naenda kiwanja. Nilikula mademu mpaka ambao sikuwatarajia. Nilipo rudi nikawala zaidi. (Na walikuwa ni mademu mademu kweli sio malaya! w ala watu wazima wenye michirizi na alama kati kati ya mapaja. walikuwa ni age mates wangu, ninao wazidi kidogo na wanao nizidi kidogo.

Niliporudi kuna baadhi ya wana walinitenga kwa sababu waliona nnaringa. Kuna mwamba mmoja alikuwaga na story za kuzamia tangu miaka ya tisini (alikuwa rafiki yake na brother). Huyu akageuka kuwa chawa wangu, siku nzima kuniuliza tu story za mtoni.. Alikuwaga na emails kibao anawasiliana na watu mara sijui vyuo wanasema watampeleka mtoni.

Kuna jamaa walimtengeneza akajaa akawatumia laki tatu wamvute Marekani. Hiyo laki tatu aliwapa wakiwa katika ya mwisho kabisa na ilikuwa ni malipo ya kupewa visa (Alipigwa).

Ilikuwa mwaka 2003 mwanzoni, kama kesho yake ndo anaenda kuchukua "visa" akawa anatamba mtaani, "kabla inda club haijashuka chati nitakuwa mtoni"

Back to the question why do most Tanzanians and Africans at large feel at home in the US?

Dada angu ambae yupo USA tangu mwaka 97 sasa anafikiria kurudi Tanzania kumalizia maisha yake Tanzania.
 
Sababu kuu inaweza kuwa nini wadau? how comes mtu upo kwenye " strange land" but still you feel at home. Hata ' home sickness' hakuna!!!

Mimi sababu ninayo ihisi ni moja " kwa sababu mhusika anakuwa tayari yupo Marekani kiakili ( mentally) kwa muda mrefu so anapo fika Marekani physically anakuwa tayari alisha kuwa 'mwenyeji' hapo Marekani.
Sema baadhi ya Watanzania sio wote hasa malofa walioshindwa kutoboa kimaisha Tanzania ndio hu feel at home Marekani baada ya kushindwa kutoboa kimaisha Tanzania
 
Kw a sababu kule kynautawala wa sheria na haki za binadamu tofauti na hapa kila kitu kiko hovyohovyo tu
Tafuta hela.Haki za binadamu zinakupeleka wapi.Mabilonea kibao wako Tanzania akins Bakheresa, na Azam zake ana pesa za kufa mtu hahangaiki na huo ubwege sijui.wa haki za binadamu yeye anapiga pesa tu

Hizo ni slogan za malofa

Bakheresa waweza.mwambia a Feel at home Marekani? Hataki kwanza na hana mpango.Ana Feel at home Tanzania
 
Sasa mkuu unataka kufananisha USA na Tanzania yenye laana?

Wana "Feel at home" kwa sababu wamevua laana ya Utanzania.

Uafrika hasa utanzania ni laana.
Marekani ni Sodoma na Gomora wao ndio wamelaaniwa kwa kuruhusu ushoga,usagaji na ndoa za jinsia moja

Tanzania upumbavu huo na laana hizo hatutaki

Wasema Marekani imebarikiwa labda ni mashoga ,wasagaji na watu ndoa za jinsia moja

Watanzania tumebarikiwa sisi sio.sodoma na ghomora kama Marekani
 
Marekani ni Sodoma na Gomora wao ndio wamelaani kwa kuruhusu ushoga,usagaji na ndoa za jinsia moja

Tanzania upumbavu huo na laana hizo hatutaki

Wasema Marekani imebarikiwa labda ni mashoga ,wasagaji na watu ndoa za jinsia moja

Watanzania tumebarikiwa sisi sio.sodoma na ghomora kama Marekani
Mitaa ya Sinza, kinondoni ,Magomeni na maeneo mengine mengi ya Tanzania hayana mashoga?

HAKUNA uhusiano wa ushoga na uraia wa mtu.

Ina onekana una Chuki na kisirani na USA.

Ushoga upo kila mahali na hauna uhusiano wowote na uraia wa mtu au nchi yoyote ile.

Hata Tanzania kuna mashoga yamejaa sana Dar es salaam.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Haki ni muhimu kuliko hizo pesa.
Haki za ushoga,usagaji na ndoa za jinsia moja? Hizo wanahubiri nchi za magharibi?

Uarabuni hakuna demokrasia wanatawaliwa kifalme na nchi zao nyingi za kifalme zimeendelea

China marufuku vyama vingi Chama tawala kimoja tu huji kusikia Marekani au ulaya wanaishinikiza China iruhusu mfumo wa vyama vingi.Mbona China imeendelea bila hizo demokrasia za nchi za magharibi?


Wanapiga miyowe kwa nchi malofa za kiafrika zisizojielewa na wasiolewa wao kama wao nchi zao waendeshaje
 
Mitaa ya Sinza, kinondoni ,Magomeni na maeneo mengine mengi ya Tanzania hayana mashoga?

HAKUNA uhusiano wa ushoga na uraia wa mtu.

Ina onekana una Chuki na kisirani na USA.

Ushoga upo kila mahali na hauna uhusiano wowote na uraia wa mtu au nchi yoyote ile.

Hata Tanzania kuna mashoga yamejaa sana Dar es salaam.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Tanzania ushoga ,usagaji na ndoa za jinsia moja hauko kwenye sheria za nchi

Marekani wamehalalisha na wanalazimisha nchi kupewa mikopo au misaada lazima ikubali ushoga,usagaji na ndoa za jinsia moja

Wamelaaniwa hao
 
Sababu kuu inaweza kuwa nini wadau? how comes mtu upo kwenye " strange land" but still you feel at home. Hata ' home sickness' hakuna!!!

Mimi sababu ninazo zihisi ni 2, mosi ;kwa sababu mhusika anakuwa tayari yupo Marekani kiakili ( mentally) kwa muda mrefu so anapo fika Marekani physically anakuwa tayari alisha kuwa 'mwenyeji' hapo Marekani.

Pili : ni inferiority complex; huyu mtu ana feel proud kuwa kwenye nchi kama Marekani. Ndio maana wengi huwa wanafikia mpaka hatua ya kubadilisha accent. Mwamba kakulia mjini Daslam but miezi sita baada ya kukanyaga ardhi ya Marekani anaanza ku speak ' ebonic' kwa sababu anataka kuji assimilate na wamarekani, anataka kuwa addressed kama " Mmarekani"


Kuna jamaa yangu mmoja alienda Marekani mwaka 2008 kwa programe ya fullbright fellowship. Kwanza kabla hajaenda story zake zilikuwa " aisee nikifika Marekani ntapiga nondo nyie!!" mweeeh kwani hizo nondo huwezi kupiga ukiwa hapa hapa mjini daslamu?

Jamaa akaenda akarudi mwaka 2009, story zake zina taja matukio ya " D.C, Jersey, etc.

Akiwa anafanya kazi kwenye internet cafe net kazi inakuwa kumu harrass mtoa huduma. " Afrika mbona internet yenu ipo slow sana nyie, Marekani ukiwa na cyber yenye internet slow kama hii hupati customers kabisa. Marekani hatujazoea kabisa vitu kama hivi" Mweeh " hamjazoea wewe na nani?"

Mwezi wa kumi na moja, mwaka 2002 sista angu aliniita kula likizo Marekani. I was 17 years old ndo nilikuwa nimemaliza kidato cha nne. Nilikaa hadi January nikarudi. Story zilizagaa mtaani kwamba naenda kiwanja. Nilikula mademu mpaka ambao sikuwatarajia. Nilipo rudi nikawala zaidi. ( Na walikuwa ni mademu mademu kweli sio malaya! w ala watu wazima wenye michirizi na alama kati kati ya mapaja. walikuwa ni age mates wangu, ninao wazidi kidogo na wanao nizidi kidogo. Am talking about the 14,15,16,17,18, 19 years old gals.


Niliporudi kuna baadhi ya wana walinitenga kwa sababu waliona nnaringa. Kuna mwamba mmoja alikuwaga na story za kuzamia tangu miaka ya tisini( alikuwa rafiki yake na brother) Huyu akageuka kuwa chawa wangu, siku nzima kuniuliza tu story za mtoni.. Alikuwaga na emails kibao anawasiliana na watu mara sijui vyuo wanasema watampeleka mtoni.

Kuna jamaa walimtengeneza akajaa akawatumia laki tatu wamvute Marekani. Hiyo laki tatu aliwapa wakiwa katika ya mwisho kabisa na ilikuwa ni malipo ya kupewa visa( Alipigwa).

Ilikuwa mwaka 2003 mwanzoni, kama kesho yake ndo anaenda kuchukua " visa" akawa anatamba mtaani, " kabla inda club haijashuka chati nitakuwa mtoni"

Back to the question why do most Tanzanians and Africans at large feel at home in the US?

Dada angu ambae yupo USA tangu mwaka 97 sasa anafikiria kurudi Tanzania kumalizia maisha yake Tanzania.
USA River au The United States of America?
 
Tafuta hela.Haki za binadamu zinakupeleka wapi.Mabilonea kibao wako Tanzania akins Bakheresa, na Azam zake ana pesa za kufa mtu hahangaiki na huo ubwege sijui.wa haki za binadamu yeye anapiga pesa tu

Hizo ni slogan za malofa

Bakheresa waweza.mwambia a Feel at home Marekani? Hataki kwanza na hana mpango.Ana Feel at home Tanzania
Usifananishe mabilionea wakubwa waliokuta utajiri wa wazazi wao na mtanzania wa kawaida anaye tokea familia ya kimaskini ambaye mpaka aje kutoboa ana tumia nguvu kubwa mno.

Nguvu anayo tumia mtanzania wa hali ya chini kufanikiwa akiwa Tanzania ni kubwa mno kulinganisha na thamani ya pesa anayo ipata.

Mifumo ya Tanzania imejaa Rushwa, kujuana na wizi, Sasa mtu wa hali ya chini ambaye hana pesa za kuhonga unafikiri ni rahisi kwake kufanikiwa haraka?

USA mifumo yake inaruhusu hata mtu wa kipato cha chini, ku hustle na kufanikiwa.

Tanzania ili ufanikiwe lazima upite kwenye mifumo ile ile ya rushwa,wizi, uhujumu uchumi na ukwepaji kodi.

Wengi wa walio fanikiwa hapa Tanzania kwa njia halali ni wachache sana.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Sababu kuu inaweza kuwa nini wadau? how comes mtu upo kwenye " strange land" but still you feel at home. Hata ' home sickness' hakuna!!!

Mimi sababu ninazo zihisi ni 2, mosi ;kwa sababu mhusika anakuwa tayari yupo Marekani kiakili ( mentally) kwa muda mrefu so anapo fika Marekani physically anakuwa tayari alisha kuwa 'mwenyeji' hapo Marekani.

Pili : ni inferiority complex; huyu mtu ana feel proud kuwa kwenye nchi kama Marekani. Ndio maana wengi huwa wanafikia mpaka hatua ya kubadilisha accent. Mwamba kakulia mjini Daslam but miezi sita baada ya kukanyaga ardhi ya Marekani anaanza ku speak ' ebonic' kwa sababu anataka kuji assimilate na wamarekani, anataka kuwa addressed kama " Mmarekani"


Kuna jamaa yangu mmoja alienda Marekani mwaka 2008 kwa programe ya fullbright fellowship. Kwanza kabla hajaenda story zake zilikuwa " aisee nikifika Marekani ntapiga nondo nyie!!" mweeeh kwani hizo nondo huwezi kupiga ukiwa hapa hapa mjini daslamu?

Jamaa akaenda akarudi mwaka 2009, story zake zina taja matukio ya " D.C, Jersey, etc.

Akiwa anafanya kazi kwenye internet cafe net kazi inakuwa kumu harrass mtoa huduma. " Afrika mbona internet yenu ipo slow sana nyie, Marekani ukiwa na cyber yenye internet slow kama hii hupati customers kabisa. Marekani hatujazoea kabisa vitu kama hivi" Mweeh " hamjazoea wewe na nani?"

Mwezi wa kumi na moja, mwaka 2002 sista angu aliniita kula likizo Marekani. I was 17 years old ndo nilikuwa nimemaliza kidato cha nne. Nilikaa hadi January nikarudi. Story zilizagaa mtaani kwamba naenda kiwanja. Nilikula mademu mpaka ambao sikuwatarajia. Nilipo rudi nikawala zaidi. ( Na walikuwa ni mademu mademu kweli sio malaya! w ala watu wazima wenye michirizi na alama kati kati ya mapaja. walikuwa ni age mates wangu, ninao wazidi kidogo na wanao nizidi kidogo. Am talking about the 14,15,16,17,18, 19 years old gals.


Niliporudi kuna baadhi ya wana walinitenga kwa sababu waliona nnaringa. Kuna mwamba mmoja alikuwaga na story za kuzamia tangu miaka ya tisini( alikuwa rafiki yake na brother) Huyu akageuka kuwa chawa wangu, siku nzima kuniuliza tu story za mtoni.. Alikuwaga na emails kibao anawasiliana na watu mara sijui vyuo wanasema watampeleka mtoni.

Kuna jamaa walimtengeneza akajaa akawatumia laki tatu wamvute Marekani. Hiyo laki tatu aliwapa wakiwa katika ya mwisho kabisa na ilikuwa ni malipo ya kupewa visa( Alipigwa).

Ilikuwa mwaka 2003 mwanzoni, kama kesho yake ndo anaenda kuchukua " visa" akawa anatamba mtaani, " kabla inda club haijashuka chati nitakuwa mtoni"

Back to the question why do most Tanzanians and Africans at large feel at home in the US?

Dada angu ambae yupo USA tangu mwaka 97 sasa anafikiria kurudi Tanzania kumalizia maisha yake Tanzania.
Ni akili za kitoto na kuwa na afya ya akili pungufu,wanahitaji virutubisho🥑🥑🥑🍆🍆🥝🥝🍇🍇
 
Back
Top Bottom