Recent content by don franco

  1. don franco

    JamiiForums Tanzania TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

    Tupe ushuhuda tujifunze mkuu
  2. don franco

    JamiiForums Tanzania Waraka kwa Rais Samia kuhusu vilio vyetu sisi Wahandisi tulioajiriwa kama Walimu

    Pole mkuu nje ya mada, sisi tulioajiriwa Nirc kama Agriculture engineer (civil) tukipata nafasi ya kuamia taasisi nyingine itabidi tufanye recategorization?
  3. don franco

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Na mimi nimepata kazi leo Nirc nashukuru Mungu. Japo nilikua nasubiria zaidi mkeka wa tpdc maana naskia asali ni niyingi ila moyo ushakata tamaa baada ya kusoma humu nikaona wadau wanasema hamna multiple palcement. Wale wa status ilianza selected for selected for practical kwenda selected for...
  4. don franco

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri wa kitaalam: Muembe unadondosha maembe machanga karibu yote

    Hii sijui ni dawa au ulozi, ila kama unaweza jaribu piga msumari kwenye huo muembe. Nyumbani kulikua na shida hiyo akaja bibi mmoja kututembelea akatuambia tufanye hivyo baada yapo muembe haujaangusha tena maembe.
  5. don franco

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    walinitumia kwenye email sahihi ipo muhuri hamna
  6. don franco

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wakuu nimeitwa kwenye interview Dodoma. ila changamoto cheti changu graduate engineer kimeisha muda wake nimefatilia Erb wamenipa barua mwenye uzoefu hawa PSRS wanakubali hizi barua za Erb?
  7. don franco

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ateua Wakuu wa Wilaya wapya 37, awahamisha 48, waliobaki kwenye vituo vyao ni 55

    Huo ni uongo, mume wake hajawahi kuwa mmiliki wa st.patrick, umechanganya mzee .
  8. don franco

    JamiiForums Tanzania Partners: Kama una mtaji naomba tufanye hii biashara

    Hii biashara unafanya online??
  9. don franco

    JamiiForums Tanzania Maisha yangu: Haya maisha kuna kutoboa kweli? Najisikia kukata tamaa

    Pole sana mkuu, story yako imenifanya nijione kumbe najidekeza sana na maisha. Endelea kupambana labda ungeweka na ulichosomea uwezi jua labda connection yako ipo humu. Au ungeweka ushaidi wa picha na page ya instagram tunaweza kukuchangia kidogo tulichonacho kikusaidie uinuke tena.
  10. don franco

    JamiiForums Tanzania Kilichonifanya niachane na forex ni hiki hapa

    Kama ni kweli hongera kutoa dollar 1000 hadi 46000 sio mchezo maana wengi wanaoitetea forex hata haiwapi faida. Wanaitetea tu sababu wanafanya. Ila kiukweli kupata faida kwenye forex ni ngumu sana.
  11. don franco

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jamani hapa kuna mapenzi kweli?

    Nilikosea wangu yupo nyanda za kusini mmoja wa mikoa yenye baridi sana. Ila huyo achana naye au ishi nae tu huku unatafuta mwingine ila upunguze au usimpe matumizi kabisa.
  12. don franco

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jamani hapa kuna mapenzi kweli?

    Dah na mimi nina wangu mmoja nilikutana nae nikiwa intern na yeye alikua chuo, naye ni mchagga na anaumri huohuo . Mzuri na anamuonekano wa upole. Alikua kapangishiwa na jamaa mmoja ni anafanya kazi Dodoma. Mimi nilikua nakaa nyumbani kwa hiyo tulikua tunakutana pale alipopangishiwa(nilikua...
  13. don franco

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tupeane maujanja ya Excel

    Hapana mkuu haina haja ya kuhighlight, kama inakaataa hiyo step ya mwicho ya kucheck box la system operator iruke bonyeza okay tu bila kucheki box la system operator. Ila makesure umebadilisha kwenye decimal separator na thousand separator Ikikataa toa feedback
  14. don franco

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tupeane maujanja ya Excel

    1 Nenda kwenye file juu kushoto 2 Chagua option 3 Chagua advanced 4 Tafuta sehemu imeandikwa system separators alafu uncheck 5 Nenda kwenye decimal operator futa hiyo , weka . 6 Nenda kwenye thousand separator futa hiyo . weka , 7 Rudi ukacheck ile button ya system separator alafu bonyeza okay
  15. don franco

    JamiiForums Tanzania Waziri Prof. Mkenda dhambi hii ya udahili vyuoni isisubiri tamko la Rais Samia

    Baada ya kusoma hii thread yote nimekuja na mtazamo huu 1. Shule za private zinafaulisha kuliko za selikali na nadhani hii inatokana na uwekezaji wa kitaaluma na kinidhamu unaofanywa na shule za private ni ngumu kukuta mtoto au mwalimu wa Feza amekosa kipindi. 2. Selikali iwekeze kwenye Elimu ya...
Back
Top Bottom