antanarivo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2018
- 448
- 870
Habari za leo wakuu, pole na majukumu
Kama heading inavyosomeka hapo juu kama umebarikiwa mtaji au unaweza nikopesha mtaji hata kwa riba au tunaweza elewana namna ya kugawana mapato kwa asilimia either daily profit sharing/ au weekly contract payment
Hii biashara ni ya kununua na kuuza dollar
1$ tunanunua kwa tzs2300 na tunauza kwa tzs2400, mzunguko (wateja) upo/wapo wa kutosha
Hii biashara sio kwamba ni mpya kwangu no Mimi nimefanya lakini mtaji wangu ulikuwa kidogo sana lakini daily nilikuwa sikosi 10k- 30k per day kwa mtaji wa Dola 200$
Kama Kuna mtu yupo tayari kupatner Ili tufanye kazi please contact me via WhatsApp+255746021481 kwa ufafanuzi zaidi:
Ahsante
NB: BIASHARA HAINA SIDE EFFECTS, NI EITHER UPATE FAIDA KUBWA AU KIDOGO
Kama heading inavyosomeka hapo juu kama umebarikiwa mtaji au unaweza nikopesha mtaji hata kwa riba au tunaweza elewana namna ya kugawana mapato kwa asilimia either daily profit sharing/ au weekly contract payment
Hii biashara ni ya kununua na kuuza dollar
1$ tunanunua kwa tzs2300 na tunauza kwa tzs2400, mzunguko (wateja) upo/wapo wa kutosha
Hii biashara sio kwamba ni mpya kwangu no Mimi nimefanya lakini mtaji wangu ulikuwa kidogo sana lakini daily nilikuwa sikosi 10k- 30k per day kwa mtaji wa Dola 200$
Kama Kuna mtu yupo tayari kupatner Ili tufanye kazi please contact me via WhatsApp+255746021481 kwa ufafanuzi zaidi:
Ahsante
NB: BIASHARA HAINA SIDE EFFECTS, NI EITHER UPATE FAIDA KUBWA AU KIDOGO