Umenifanya nicheke kwa nguvu humu ofisini hadi wameni shangaa. Nigerian guys especially people from Igbo tribe wanaopatikana Kusini Mashariki ya Nigeria ni jamaa wa "fursa"
Wimbo wa Lady Madona-Holiday
Nakumbuka miaka ya 1980's Nikiwa Charlie mdogo tukiwa DUMILA pale barabarani "Msela" mmoja pale alikuwa akiuimba wimbo huu wa Madona kama ifuatavyo....
How many day, how many day........ badala ya Holiday..Holiday
Toka hapo niliupenda sana wimbo huo na baadae nikaja...
Uko sahihi Kiongozi yaani Nchi inapelekwa msobemsobe na watu wako kimya kabisa wanaona ni normal sotuation ila kwenye issue ya Mamelody ndo tuandamane hii ni ajabu kweli kweli. Mambo ya msingi kabisa kama wizi wa Kura na Upokwaji wa Matokeo kwenye Chaguzi mbalimbali tuna yafumbia macho badala ya...
Hivi kweli hili nalo linahitaji ushauri toka kwa watu wengine? Wewe Jambo Kubwa unaona hili ni jambo dogo?
Kwa hili lilokukuta hata ungemuuliza Baba Mkwe wako angekwambia piga chini huyo Mwanae. Huyo dada hakupendi na wala hakutaki ndo maana kaamua kudinywa wakati wewe mwenyewe upo nae. Je, vipi...
Uko sahihi Mkuu na hivi Polisi yetu inatumia nguvu nyingi bila maarifa, utajuta kuzaliwa. Ndo maana hata Mtu akikuta Mtu kajinyonga anaogopa kutoa taarifa Polisi kwani Intelijensia yao ni duni mno na jamii inaogopa usumbufu na kubambikiwa. Jeshi la Polisi ni chanzo kikubwa sana cha uonevu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.