Domhome
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 3,198
- 3,972
Mkuu unaongelea Serikali hii hii inayosimamia MWENDOKASI na SGR au kuna nyingine? maana wao wenyewe wanategana.Sasa ukiacha kutembea na Wake za watu na Binti za wenyewe utakula wapi kama sio kwa Malaya na Mashoga? Acheni habari zenu bana.
Serkali ipige marufuku kitu kinaitwa TEGO.