Imeandaliwa na @doktamathew
Huu ni ugonjwa wa virusi unaoenezwa na mbu aina ya Aedes aegypti na Aedes albopictus. Neno chikungunya limetoholewa kutoka neno la kimakonde(kun-kunyala) ambalo linamaanisha kupinda au kujikunja au kuinamia mbele na hali hio ndio inayawaelezea namna wagonjwa wenye...
Watoto wa kike wasiposoma kisa wamepata ujauzito haingii akilini. Tuwapeni haki zao jamani.
.
Ni bora mseme mwenye mimba na aliempa mimba wote watolewe au afungwe miaka 50 jela. Mwanamke hawezi kupata mimba bila kua na lijamaa linalohusika (mafataki) kuna sheria yes but isiwe one way traffic...
SHIGELA (SHIGELOSIS)
Huu ni ugonjwa hatari wa kuharisha ambao husababishwa na kimelea aitwae Shigella dysenteriae ..kimelea huyu aligundulika kwa mara ya kwanza mnamo mwaka 1897 huko Japan,na mtaalamu wa mikrobiolojia aitwae Kiyoshi Shiga,kipindi hiko kulikua na mlipuko mkubwa wa kuhara...
MKIA UKATWE AU USIKATWE HAKUNA SHIDA
Kama utapenda kua nao sawa tu hutapata tatizo lolote la kiafya, kama utaona hautakua na amani basi utakatwa tu bila shida yeyote
Sent using Doktamathew phone
Mzazi ambae umepata mtoto mwenye mkia usiogope,tulia na jua sio jambo la kutisha wala kuhatarisha maisha ya mwanao.
Mpe ushirikiano dr wako na mambo yataenda safi sana. Je, wewe ukipata mtoto mwenye mkia utafanyaje kwa mara ya kwanza?
Sent using Jamii Forums mobile app
MAPENZI YA NJIA YA HAJA KUBWA(ANAL SEX)
Imeandaliwa na @doktamathew
Kila mmoja wetu anafahamu maana ya mapenzi na njia ipi inafaa kwa ajili ya kufurahishana faragha na kuongeza kizazi kama alivotuelekeza Mwenyezi Mungu. Siku hizi kumekua na wimbi kubwa la watu kupenda na kuhamasisha mapenzi ya...
NAMNA HOMA YA LASSA HUAMBUKIZWA
Homa ya lassa huambukizwa na panya wa afrika aitwae Mastomys rats- mastomys natalensis ;na binadamu hupata maambukizi kupitia kugusana na mkojo au kinyesi cha panya mwenye kirusi cha lassa, kuvuta hewa ya vitu vilivochafuliwa na kinyesi au mkojo na kula au kunywa...
Share please... TUSIKUBALI
ITALY ---14681 Deaths
China ---3326 Deaths
Spain ---11198 Deaths
USA --- 7403 Deaths
AFRICA(Whole continent) -- 164
and the world wants to Start vaccination in Africa....
WHY ?[emoji848]
SAY NO TO THIS THING
Sent using Jamii Forums mobile app
Share please!!
ITALY ---14681 Deaths
China ---3326 Deaths
Spain ---11198 Deaths
USA --- 7403 Deaths
AFRICA(Whole continent) -- 164
and the world wants to Start vaccination in Africa....
WHY ?[emoji848]
SAY NO TO THIS THING
who @WHOAFRO
Sent using Jamii Forums mobile app
ITALY ---14681 Deaths
China ---3326 Deaths
Spain ---11198 Deaths
USA --- 7403 Deaths
AFRICA(Whole continent) -- 164
and the world wants to Start vaccination in Africa....
WHY ?[emoji848]
.
.
TUSIKUBALI.
Sent using Jamii Forums mobile app
UFAHAMU UGONJWA WA HOMA YA LASSA
Katika siku za hivi karibuni yapata miezi mitatu sasa kumekua taarifa sana zilizosambaa juu ya ugonjwa wa homa ya corona, mlipuko ambao ulitokea katika jiji la wuhan huko nchini China na kirusi cha corona kinaaminika kimetoka kwa popo japokua haijafahamika ni...
DALILI ZA UGONJWA HUU
Kama nilivokwisha kusema hapo juu ugonjwa huu kwa asilimia kubwa humfanya mtu awe na ngozi kavu maeneo ya mgongoni na mikononi na ambayo anakua na mabaka mabaka meusi na meupe na wakati mwingine yamechanganyika na mabaka mabaka mekundu. Wagonjwa walio wengi hua hawapati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.