Chanjo ya Corona kufanyikia majaribio Afrika

Chanjo ya Corona kufanyikia majaribio Afrika

Wawe makini sana, wasije tuletea chanjo ikageuka kuwa chanjo ya kudumu, yaani ikawa hatuumwi ugonjwa wowote maisha yote.
 
Wawe makini sana, wasije tuletea chanjo ikageuka kuwa chanjo ya kudumu, yaani ikawa hatuumwi ugonjwa wowote maisha yote.
We jidanganye ushobokee a kuitwa Chanjo utaisoma 127485947
 
Nimeona mahali Samweli Etoo na Drogba wamepaza sauti kuhusu hili jambo nawamesema Bara la Afrika sio lakuchezewaprofesa mmoja wa ufaransa alitangaza kuja kifanyia hiyo chanjo huku Afrika, Mungu atunusuru na hilo kama wanataka waje kutusamabazia kwanjia nyingine hatujui laaaa inaumiza sana.
 
Nandie ameleta chanjo inayotolewa mashuleni hadi mabint wengi kwasasa wanasumbuliwa na kansa ya kizazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu ni muuaji....ule mpango wa depopulation sasa utatimizwa kilaini.

Chaji nyingi tu watoto na sisi wenyewe tumechanjwa..tusubiri..maradhi ya ajabu ajabu..
wanaua body immune yetu...halafu watu wanaona maskhara!

Kuna watu hawachanji watoto wao na wako vizuri sana tu! Jiulize hapo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekutana na Hii kitu mahala nikaona nilete kwa Ma GT Je kuna Ukweli wa hili jambo? kama Lipo hawa sio watu wazuri nna Mashaka nao..Tukae kwa Tahadhari Wananzengo

CHANJO YA CORONA KUFANYIWA MAJARIBIO AFRICA

Umoja wa Mataifa umedhamiria kuifanyia majaribio Chanjo dhidi ya virusi vya Corona katika bara la Africa ili waone kama inafanya kazi.

Aliyetangaza mpango huo ni ni Katibu Mkuu wa umoja huo #Antonio_Guteress.

#Nukuuu___

" Tayari tumetengeneza chanjo ambayo itakuwa Kinga dhidi ya virusi vya Corona na tumedhamiria kuanza kuifanyia jaribio la kwanza barani Afrika ili turuhusu chanjo hiyo itumike , tutaanza kwa kupima mtu mwenye ngozi nyeusi atakayeweza kujitolea na atalipwa pesa nyingi Sana."

# Ikumbukwe kuwa siku chache zilizopita daktari mkubwa nchini ufaransa mwenye asili ya Senegal #Dider_Raoult alionya juu ya Chanjo dhidi ya ugonjwa wa Corona itakayo tumwa barani Africa na Bilionea #Bill_Gates kwa mgongo wa Umoja wa Mataifa.

#Nukuuu___

"Tafadhali msitumie chanjo ambayo #Bill_Gates atatuma barani Afrika, nawaomba viongozi wa nchi za Afrika chukueni tahadhari na kuweni makini na chanjo ambazo hawa matajiri wa nchi za ulaya na Marekani wanataraji kuzituma katika nchi zenu, nina imani kuwa chanjo hizo huenda zinalenga kuiangamiza Afrika , embu tafakari kwa makini kama wanahitaji kutoa msaada kwanini wasianzie Italy, Hispania au Marekani ambako watu wanafariki kila kukicha kwani chanjo hiyo isiende kufanyiwa majaribio katika nchi za ulaya na Asia lakini wanaleta Afrika tu ???"
Wafanyie huko huko kwao wanakoteketea wasitufanye mbuzi wa kafara sisi
 
Sasa mbona hujaweka chanzo cha habari yako na sisi tukajisomee huko?
Hii kitu nimeisikia kwenye habari asubuhi hii na baadhi ya nchi tayari zimetilia shaka mpango huo,ila hawajazitaja nchi husika.

macson
 
ITALY ---14681 Deaths
China ---3326 Deaths
Spain ---11198 Deaths
USA --- 7403 Deaths
AFRICA(Whole continent) -- 164
and the world wants to Start vaccination in Africa....
WHY ?[emoji848]
.
.
TUSIKUBALI.

Sent using Jamii Forums mobile app
large_aedl-9P8lJZnyoA6D4KwOeaxHKAkHqLj1a_F9B3p4jU.jpg
 
He he! Hivyo vifo vyote usikute ni kafara kwa waafrika!! Kitakacho tupata anajua shetani.. hatuna ubavu wa kuzuia ndugu tulia uone
 
Tusikubali kwani sie Wananchi tuna kauli kuhusu bara letu?

US ikisema atakaekataa chanjo anamuwekea vikwazo kuna Serikali ya Africa itabisha?

Pia wanaweza wakatuchanja bila ya kutujulisha na tusijue

Wakiamua kulet chanjo kwa wajawazito na matone kw watoto wakasema ni vitamin C tutajua?
ITALY ---11596 Deaths
China ---3314 Deaths
Spain ---7716 Deaths
USA --- 2988 Deaths
AFRICA(Whole continent) -- 23
and the world wants to Start vaccination in Africa....
WHY ?[emoji848]
TUSIKUBALI..View attachment 1408485

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani mamlaka zinazohusika na kutoa taharifa juu ya corona nchini zinasemaje?

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
Kukataa itategemea na dau walilotuwekea mezani.

Maendeleo hayana chama
 
jambo jema sana,napendekeza waanzie hapa kwetu.
narudi zangu jalalani
#komeshacorona
 
Ni wa puuzi sana...

Ndiyo maana wanakufa kama kuku kwa magonjwa ambayo sisi huku hayatufanyi chochote...



Cc: mahondaw
 
Huyu ni muuaji....ule mpango wa depopulation sasa utatimizwa kilaini.

Chaji nyingi tu watoto na sisi wenyewe tumechanjwa..tusubiri..maradhi ya ajabu ajabu..
wanaua body immune yetu...halafu watu wanaona maskhara!

Kuna watu hawachanji watoto wao na wako vizuri sana tu! Jiulize hapo!

Sent using Jamii Forums mobile app
wamasai wengi tu nadhani hizi chanjo hawana
halafu ivi jamii kama za hadzabe na kule amazon hivi wana haya magonjwa kweli? au ni sisi tu
 
Back
Top Bottom