doktamathew
Member
- Mar 12, 2013
- 22
- 43
Mzazi ambae umepata mtoto mwenye mkia usiogope,tulia na jua sio jambo la kutisha wala kuhatarisha maisha ya mwanao.
Mpe ushirikiano dr wako na mambo yataenda safi sana. Je, wewe ukipata mtoto mwenye mkia utafanyaje kwa mara ya kwanza?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpe ushirikiano dr wako na mambo yataenda safi sana. Je, wewe ukipata mtoto mwenye mkia utafanyaje kwa mara ya kwanza?
Sent using Jamii Forums mobile app