feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 8,964
- 18,537
Hawachelewi kuja wafia dini na kusema mwisho wa dunia....[emoji28][emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu nipangue mimi kwa hayo maswali machache.Yeyote anayeamini evolution namuona kama anafikiri pafupi mno . Yaani hana ile critical thinking kwa kuwa naweza mpangua kwa maswali machache tu .ninachoamini mimi ni adaptation na hakuna evolution .
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadharia ya Evolution imejengwa na nini. ?Umeandika kiswahili lakini sijaelewa.
Huwa unao pindi ukiwa tumboni sema huwa unapotea wiki kadhaa kabla ya kuzaliwa .Mungu hakuumba mwanadamu mwenye mkia, sasa huyo mwenye mkia katoka wapi kama sio kwa Lucifer na ma Tecno yawezayo hata kumfanya mwanaume awe na makalio kama ya Bashite!
Tusitishane [emoji23]
Hakuna mahusiano ya mtoto kuzaliwa mkia na hiyo evolution.Hivi wale wasioamini Evolution hili watalielezeaje? Au haihusiani na sisi kuwa nyani hapo mwanzo?
Hapo mwanzo tulikua nyani so it means tuna vijimelea bado vya unyaniNadharia ya Evolution imejengwa na nini. ?
Yeyote anayeamini evolution namuona kama anafikiri pafupi mno . Yaani hana ile critical thinking kwa kuwa naweza mpangua kwa maswali machache tu .ninachoamini mimi ni adaptation na hakuna evolution .
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo mwanzo tulikua nyani so it means tuna vijimelea bado vya unyani
Kuniuliza swali ambalo jibu unalijua ni kupoteza muda Zurri.Nadharia ya Evolution imejengwa na nini. ?
Ngoja tumuulize mshana hii sio mambo yale ya nguvu za gizaLakini kamempendeza...[emoji2]
Kwani akikatwa atadhurika mbona mtu anakatika miguu au mikono na kuishi tu huku akibaki mlemavu?
Nadhibitishaje sasa kwa mfano.Unaweza kuthibitha hilo ?
Hawa nyani ambao wapo kipi kinawazuia kuwa binadamu kama sisi ?
Kuniuliza swali ambalo jibu unalijua ni kupoteza muda Zurri.
Swali zuri mrembo.Nadhibitishaje sasa kwa mfano.
[emoji3][emoji16]Hapo mwanzo tulikua nyani so it means tuna vijimelea bado vya unyani
Sahihi kabisa, tatizo watu wanapenda Story za Wanasayansi ila hawafikirii mambo kiundani, laiti kama wangekuwa wanafikiria kiundani haya yasingekuwepo ?
Kama haujui hapo ulikuwa unapinga nini?Sijui ndio maana nataka kujua nimekuuliza.
Hayo mambo ya kuthibitisha unyani ni ya kisayansi na wala kwa akili yangu siwezi kuthibitisha hilo mdada. Ila kwa upeo wangu mfupi nimeandika comment nyingine chini labda itakufurahisha hyo.
Kama haujui hapo ulikuwa unapinga nini?