Niwe funzo kwako na kwa wale wote walio kwenye penzi la kweli na sio maigizo, nafsi inakawaida ya kukusuta ukifanya kosa na kujielewa hili kosa, ubaya wa nafsi ukipuuza unazoea na kuzama kwenye dhambi.
Huyu alokwenda kujitambulisha kuwa anamtafuta baba yake kwa nini asingejitokeza mama yake mzazi na kusema katelekezwa yeye na mwanawe. Mimi nnamashaka huu ni mchezo wa kuigiza. Wacha tuone movie inakoelekea na itaisha vp.
Well said, no umkute ana kazi ambayo inamfanya awe bizi mda wote, apo vumilia machungu tu hujali sana ratiba za kazini kwake kuliko zile mmejipangia, hii ni nature yao most of them not everyone
Pole sana Kaka, apo ni kupata uhakika wa uyo mtoto hata kwa kupima vinasaba, usichukie mtoto hana kosa lolote na usishangae ukamchukia mwanao mwenyewe. Ila duh! wanawake mna siri sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.