Nalendwa
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 7,466
- 13,031
![]()
mtoa mada ndio kakuonea sio mimi
Hahah!, Sawa bwana. Hope U mzima lakini..
![]()
mtoa mada ndio kakuonea sio mimi
You know shida sio kusamehe wala kusahau..ni kua na msimamo tuu..na kujua thamani yako. Being played is not funHuwa hawasahau. Yaaan akisema no thats the end kaka.
Una ugomvi naeSepenga mbona Smart na romantic
Niko poa mamaa...rafiki yako Daby yuko wapi hiviHahah!, Sawa bwana. Hope U mzima lakini..
Niko poa mamaa...rafiki yako Daby yuko wapi hivi
Hee ngoja niulize wake wenzaVizuri!...huyu Daby mbona nilitaka kukuuliza wewe?!
Yan hao wanawake ndo mm kabisaaaa
kina nani hao una kwepa majukumu?Hee ngoja niulize wake wenza
Unataka niwataje wote? Wanajaa costa sidhani kama nitaweza kuwataja wotekina nani hao una kwepa majukumu?