kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 13,883
- 25,872
sasa kama ndoa bado we unataka kulazimisha kuitwa wife?Ila akiongea kwenye simu anawaambia nipo na wife amefika kunitembelea na ananipa simu pia niongee nao shida kuna siku mmama akamuuliza huyo ndo mke wako akatabasamu tu hakujibu chochote