mojave
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 5,570
- 6,433
Kwema dada ake, hofu kwenu!Hahaaaa. Bora amsikie kwa kweli sababu hii ni zaidi ya kutaka kumuacha dada wa watu kwenye mataa.
Mie niko poa hasaa kaka. Adimu mnoo jamaani. Kwema?
Kwema dada ake, hofu kwenu!Hahaaaa. Bora amsikie kwa kweli sababu hii ni zaidi ya kutaka kumuacha dada wa watu kwenye mataa.
Mie niko poa hasaa kaka. Adimu mnoo jamaani. Kwema?
Mkuu,kama mwanzoni alikua hana tabia hizo,ujue sasa hivi ana matatizo ndio maana anakuomba!
Hata kama huna ungejaribu kuzungumza naye kumuelewesha kuliko kumkimbia!
Hapo kwenye nyekundu Mkuu. Duuh.
Hivyo bila kupewa hiyo huwezi saidia mwanamke?
Besides, there are might be too many people who need your help and inf act they helped you too before, right???Be nice to me, and I'll be nice to you, unaweza ukasema I'm cheap, manipulative (perhaps ndo nilivo) but I like to call it a fair play, mwanamke ambae ni ndugu yangu au rafiki yangu ndo naweza kumsaidia bure, ila siwezi kumsaidia bure mwanamke nlievutiwa nae, lazma kwanza anipe shimo Hajar