Kumbuka pesa haitakuziga Bali ndugu zako, duniani tunapita tu, tenda kadri ya uwezo wako na syo kuwadhalilisha humu, unaweza Fanya, hauwezi ACHA.why kuwaanika ndugu zako wa karibu humu jf..?
Wanafunzi wengi watakosa nafasi, hasa baada ya idadi lengwa kutimia na vigezo kufikiwa katika chuo husika.suala syo kuvuruga mifumo, hapa ni kushauri na kusimamia ipasavyo, No research no right to talk, TCU came after research na matokeo yameonekana, pia imekuwa huru kwa wanafunzi kubadili vyuo...
Kukurupuka kwa kumtaja Gwajima mtumiaji wa madawa ya kulevya bila proof ya kisheria yenyewe unaibariki..? Pilipili usiyoila yakuwasha nini, ngoma mwachie mwenyenayo aicheze..!!
Wanamchuuja mtoto wa Mlala hoi ambaye baada ya masomo alianza kuuza Katanga ili kukabiliana na hali ngumu ya maisha, Leo wanampelekea mtihani wa mchujo, wakati huo watoto wao walishaanza kusoma pre-form one, laaaa, the world is not fair..!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.