GAS YA MSIMBATI
Member
- Mar 5, 2017
- 44
- 62
Mbona kimya kimyaMapokezi mazuri, Hopeful watakuwa na mazungumzo mazuri. Vizuri sana Viongozi wa Nchi mbili kubwa sana wanakutana na kuongea.
Huyu President Sisi hana ujinga, yeye anaheshimu nchi zote za Africa, Siyo Kama Morsi na Mubarak. Things will get better under his leadership, relationship between many African countries and Egypt will improve.
Au kaja kupiga Biti maji ya Ziwa Victoria baada ya Waziri mkuu wa Ethiopia Kumtangulia
Sent using Jamii Forums mobile app