Recent content by DIUNATION

  1. DIUNATION

    Utaratibu wa Bodi ya Mikopo (HESLB) unatia shaka

    Nimeona kwa mwaka huu wamelipia kiasi kidogo sana cha ada kwa wanafunzi. Mf nina vijana 4 mtaani wamelipiwa ada 270,000 kwa mwaka na kozi zao zinaanzia mill 1.8 na familia zao ni duni mno. Sijui bodi wametumia vigezo gani.
  2. DIUNATION

    Je, Marekani kuvunja Uhusiano na CCM?

    Marekani sio peponi kwamba kila mtu anatamani kwenda.
  3. DIUNATION

    Lema: Kuna Vijana walitaka kuiba Mwenge Arusha wakaukosa, nilisikitika sana

    Ukiwa mwizi huchagui cha kuiba. Kaamua apumzike kuiba magari sasa aibe mwenge.
  4. DIUNATION

    Ni mjinga tu anayeshutumu kwanini TEC wamehudhuria utiaji Saini HGA ya DP World

    Huo ukweli wangeusema na kwenye Escrow!
  5. DIUNATION

    Mdude: Tunaipa Serikali siku 30 wafute mkataba

    Hivi siku 30 hazijaisha?
  6. DIUNATION

    Rasmi: Maandamano ya kupinga mkataba wa bandari ni tarehe 9 Novemba 2023

    Mbona mnazidi kusogeza mbele si mlisema siku 30
  7. DIUNATION

    Je, ni sahihi kwa Sarah kudai mgawanyo wa mali ambazo hakuhusika nazo kuzichuma? Tuendelee kukataa ndoa?

    Funzo kwa wale wanaotaka kupambana na mashimo waliyotoka
  8. DIUNATION

    Feisal Salum(Feitoto) kuendelea kuichezea Yanga

    Ukute mkewe ndio wale maji pwa pwa pwa wa nn sasa!
  9. DIUNATION

    Feisal Salum(Feitoto) kuendelea kuichezea Yanga

    Mke wako sisi wa nini?Wewe endelea kula dude lako bovu hilo.
  10. DIUNATION

    Feisal Salum (Feitoto) aaga rasmi Yanga

    Yale yale ya Morisson
  11. DIUNATION

    Kimenuka: Jipya laja, beki kisiki Dickson Job agoma kuongeza mkataba Yanga

    Hizi timu viongozi ni hoya hoya tu
  12. DIUNATION

    Feisal Salum (Feitoto) aaga rasmi Yanga

    Na hata Bio yake kaifuta Yanga
Back
Top Bottom