Tegeta uelekeo ni mmoja tu unaanzia ulipo unafuta bagamoyo road uelekeo mwenge kukutana na wengine kuelekea ikulu.Kesho wakazi wa tegeta tunakutania wapi maana nimepania sana.
Kwani hata ya tarehe Oct 29 ulikubali kama yatakuwepo?Hamna maandamano kesho, niko pale niite mbwa
Kama Ikulu iko matakoni mwa mama yako, basi utafika IkuluMapema kabisa asubuhi tumeshajaa. Uelekeo ikulu
Hehehe mikwalaMimi binafsi kesho natoka na chuma
Nikifa niende na mjinga mmo
Na walemavuKwanini tusitoke sasa.
Wasiotoka labda kina mama wazee watoto na michawa ya mbogamboga.
Wenye akili timamu nguvu na uwezo kesho wote tunatoka.
We chawa wa mbogamboga.Kama Ikulu iko matakoni mwa mama yako, basi utafika Ikulu
Eti wewe na wano 17?? Unanuwezo wankuzaa wewe?? Pumbu zenyewe hunaNipo na Wanangu 17 na tunatoka wote, wewe je?
Naomba kesho tutoke kwa wingi sana, tutokeni kwa wingi sana ndugu zangu
Maandamano ni haki yetu kikatiba
Kama nilivyotoka tarehe 29 kesho nitatoka!!
Hata 29/10 hakukuwa maandamano bali kulikuwa magenge ya wezi ambayo yalichezea risasi za motoKwani hata ya tarehe Oct 29 ulikubali kama yatakuwepo?
Neno la Bwana (in Romans 14:8) linasema, “If we live, we live for the Lord; and if we die, we die for the Lord...”Nipo na Wanangu 17 na tunatoka wote, wewe je?
Naomba kesho tutoke kwa wingi sana, tutokeni kwa wingi sana ndugu zangu
Maandamano ni haki yetu kikatiba
Kama nilivyotoka tarehe 29 kesho nitatoka!!
Kama hili jizi hapa chini linavyochezea fimbo za kutosha likiwa halijitambuiHata 29/10 hakukuwa maandamano bali kulikuwa magenge ya wezi ambayo yalichezea risasi za moto
Niite jina lolote lakini naamini kwa uandishi wangu kuna wachache wananielewa na ninawaokoa kwa kutokubali kuingia kwenye huo UHAYAWANIWe chawa wa mbogamboga.
Vile vi 7000 vya posho mnavyopewa hapo lumumba kesho vinaenda kufutika rasmi.
Anza kujifunza kuishi bila ya vi 7000 vya uchawa.
NINAHASIRA SANA NA HAWA WAHUNI WANAOTAKA KUANDAMANA KESHO KWA SABABU ZAO ZA KIPUUZI.KESHO LAZIMA NITEMBEE NA MGUU WA KUKU ILI NIWE NAWAMALIZA KIMYAKIMYA NIKIWAONA WANAFANYA UHALIFU WAO.
Siyo kukuua tu tutakukaanga na moto mkali na kukutupa ili ndege waleSafari hii uzembe tulioufanya OCT 29 hautajirudia,yaani askari 4 kukimbiza maelfu ya waandamanaji,hii haitotokea kesho!!
KESHO MTATUUA WOTE,PUMBAV ZENU
Mbona una hasira sana wewe babu? Una masaa machache tu ya kutoroka nchi otherwise you are doomed to deathEti wewe na wano 17?? Unanuwezo wankuzaa wewe?? Pumbu zenyewe huna
Siyo kukuua tu tutakukaanga na moto mkali na kukutupa ili ndege wale
Unamtisha nani Sasa wewe kichaaNitumie pcha yako DM,Ukivuka tarehe 10,uniite mbwa!
Nmepoteza ndugu zangu hiyo October 29,SITANYAMAZA