sa kwa nini wewe inakufanya uhangaike kuwahimiza waendelee kuwa kama unavyotaka wewe.Matukio mengi yametokea ambayo yangeweza kuwafanya watanzania waonyeshe wazi hisia zao ila kimya.
Maandamano ya kutangaza ni yale ya amani kama enzi za kuunga mkono azimio la arusha.Kabla haujasoma ninachotaka kusema, embu tuelewane kidogo. Sijawahi kuisifia wala kuitetea CCM na serikali zake. Siungi mkono vitendo vyovyote vya unyanyasaji, utekaji, mauaji na uminywaji wa haki na uhuru wa raia wa Tanzania. Baada ya kusema hayo, naomba niendelee na mada yangu ya leo.
Hauwezi kutangaza takribani miezi miwili kabla kuwa unaenda kufanya maandamano ambayo nia yake ni kuiondoa serikali halafu uende kufanikiwa. Hivi mnadhani miezi hii yote hao CCM na serikali yake wamekaa tu wanawasubiri nyie hiyo October 29 muende kuwaondoa?
Maandamano ya kweli, yenye nguvu na yanayofanikiwa huwa yanaibuka tu "organically" na yanachochewa na hasira na hisia kali kutokana na matendo maovu ya wakati husika siyo haya ya kutangaza miezi miwili kabla.
Kwa Tanzania yametokea matendo mangapi ambayo yangeweza kuibua maandamano lakini kimya kikatanda mitaani hadi watu wakapoa? Watu wamebaki kugugumia na kunong'onezana tu ila hakuna action. Nguvu hiyo ya kuwavuta hao watu waingie road itatoka wapi wakati mmewapa watesi wenu muda wa kujiandaa na kujizatiti na wakati huo huo hisia za watu kupungua?
Kuna jambo nililisema kuhusu Polepole, Mpina na Mange wiki kadhaa nyuma katika post yangu ya mwisho na nasimama na maneno yangu maana baada ya nilichoandika ndiyo siku kadhaa nikasikia "ametekwa". Nasimama na kauli yangu ya awali.
Narudia jambo ambalo nimelisema mara kwa mara. Watanzania bila kuamua kusimama wenyewe bila kutegeana au kutegemea viongozi au watu fulani wawaongoze (au sasa hivi mmeingizwa chaka la eti jeshi lipo tayari kuwasaidia), hamtaiondoa CCM kamwe.
Yalifanyika kwa sababu waliruhusu yafanyike aseeee..mapokezi ya Lissu, na maandamano ya Ngorongoro, ndio maandamano makubwa yaliyofanyika katika awamu ya 5, na awamu ya 6. Hoja yangu ni kwamba maandamano Tanzania yanawezekana.
THE REVOLUTION WILL NOT BE TELEVISED 😂😂😂😂Kabla haujasoma ninachotaka kusema, embu tuelewane kidogo. Sijawahi kuisifia wala kuitetea CCM na serikali zake. Siungi mkono vitendo vyovyote vya unyanyasaji, utekaji, mauaji na uminywaji wa haki na uhuru wa raia wa Tanzania. Baada ya kusema hayo, naomba niendelee na mada yangu ya leo.
Hauwezi kutangaza takribani miezi miwili kabla kuwa unaenda kufanya maandamano ambayo nia yake ni kuiondoa serikali halafu uende kufanikiwa. Hivi mnadhani miezi hii yote hao CCM na serikali yake wamekaa tu wanawasubiri nyie hiyo October 29 muende kuwaondoa?
Maandamano ya kweli, yenye nguvu na yanayofanikiwa huwa yanaibuka tu "organically" na yanachochewa na hasira na hisia kali kutokana na matendo maovu ya wakati husika siyo haya ya kutangaza miezi miwili kabla.
Kwa Tanzania yametokea matendo mangapi ambayo yangeweza kuibua maandamano lakini kimya kikatanda mitaani hadi watu wakapoa? Watu wamebaki kugugumia na kunong'onezana tu ila hakuna action. Nguvu hiyo ya kuwavuta hao watu waingie road itatoka wapi wakati mmewapa watesi wenu muda wa kujiandaa na kujizatiti na wakati huo huo hisia za watu kupungua?
Kuna jambo nililisema kuhusu Polepole, Mpina na Mange wiki kadhaa nyuma katika post yangu ya mwisho na nasimama na maneno yangu maana baada ya nilichoandika ndiyo siku kadhaa nikasikia "ametekwa". Nasimama na kauli yangu ya awali.
Narudia jambo ambalo nimelisema mara kwa mara. Watanzania bila kuamua kusimama wenyewe bila kutegeana au kutegemea viongozi au watu fulani wawaongoze (au sasa hivi mmeingizwa chaka la eti jeshi lipo tayari kuwasaidia), hamtaiondoa CCM kamwe.
Yalifanyika kwa sababu waliruhusu yafanyike aseeee
Una uwezo mdogo wa kufikiria, ila jua wanao Andamana sio wapinzani ila ni Wananchi wenye Takwa laoMaandamano yaliyopangwa ni ya kipuuzi. Sababu za maandamano ni nyingi zisizoeleweka kiasi kwamba ukizisoma hadi uzimalize tayari umesahau sababu ya kwanza. Wapinzani angalau wangekuwa na akili wangesimama na sababu moja nzito inayoeleweka. Haiwezekani mtu unasema sababu ni kupinga utekaji mara hapohapo sababu nyingine ni kuitoa CCM madarakani na ghafla sababu inaibuka kutaka reforms za uchaguzi. Yaani ujinga mtupu. Hawajui wanataka kuandamana kwa sababu gani.
Lema ndo Nani kwenye Maandamano usimletee matatizo mtu Ambae hausiki, Haya ni maandamano ya wananchi na sio CHADEMALema mwenyewe anabembeleza polisi wamuhifadhi. Haya nani ataandamana
Wananchi kina nani. Mbona Mimi simoLema ndo Nani kwenye Maandamano usimletee matatizo mtu Ambae hausiki, Haya ni maandamano ya wananchi na sio CHADEMA