Recent content by Dindai

  1. Dindai

    Tabora

    Vipi pana vibe au napo pamepoaaa kama hapa O2
  2. Dindai

    Tabora

    Nipo hapa O2 hamna ishu pamepoaaa
  3. Dindai

    Mfumo huu wa utengenezaji wa shimo la choo una changamoto/faida gani?

    Ninalo. Mwaka wa pili huu sijaona Tatizo
  4. Dindai

    Miundombinu ya Chuo Kikuu cha Kampala (Gongolamboto) inaelekea kuwa maghofu

    Mtoa mada ni mjinga tu. Kila kitu wanalalamikia serikali
  5. Dindai

    Safari ya miaka 9 tangu kuacha kazi. Hamasa kwa vijana wenye maono makubwa

    Inshort ni kwamba tangu aache kazi miaka tisa iliyopita ili ajiajiri bado hajatoboa. Bado anajitafuta, kapigika vibaya mno lakini bado ana matumaini!
  6. Dindai

    Mnaoagiza magari nje mnapata wapi dola?

    Duh mwaka Jana nakumbuka nimeenda NMB walikuwa wanauza mwisho dollars 3,000 kwa siku. Sasa hivi imeadimika hadi kufikia kuuza dola 100 tu kwa siku? Kweli hali ni mbaya. Nilikuwa nanunua gari sbt japan ya dola 8,000 niliwasiliana nao kuhusu uhaba wa dola wakakubali niwalipe kwa siku tatu...
  7. Dindai

    Tupia picha ya mjengo wa chini uliyowahi kukuvutia

    Sasa kwenye hako kakibanda umevutiwa na nini?
  8. Dindai

    Mwanza ni sehemu gani wanachoma kitimoto Murua?

    Sparrow wanakiti moto tamu sana Sent from my vivo 1938 using JamiiForums mobile app
  9. Dindai

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Kigoma Sent from my vivo 1938 using JamiiForums mobile app
  10. Dindai

    Ushauri kuhusu Mabati ya Taishan, Kinglion na Sunbank

    Miaka mitatu bado boma halijasogea hata kuweka grills tu. Aisee mkuu Komaa kutafuta hela! Miaka mitatu ni mingi mno!
  11. Dindai

    Bodaboda hawana Haki

    Baba mogani siku ukiendesha gari ndio utajuwa hawa jamaa ni washenzi kiasi gani. Sent from my vivo 1938 using JamiiForums mobile app
  12. Dindai

    Mchezo wa El- Mererkh VS Young African Kuchezwa Rwanda

    Kwa nauli tu laki inatosha. Geita to Rusumo 20K RUSUMO TO KIGALI 7K RWF 2.2 TZS = 1 RWAF Sent from my vivo 1938 using JamiiForums mobile app
  13. Dindai

    Kudrive umbali mrefu

    Shangazi amefariki? Lini tena? Nina miaka kadhaa sijapita kwa Shangazi Sent from my vivo 1938 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom