Duh mwaka Jana nakumbuka nimeenda NMB walikuwa wanauza mwisho dollars 3,000 kwa siku.
Sasa hivi imeadimika hadi kufikia kuuza dola 100 tu kwa siku?
Kweli hali ni mbaya.
Nilikuwa nanunua gari sbt japan ya dola 8,000 niliwasiliana nao kuhusu uhaba wa dola wakakubali niwalipe kwa siku tatu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.