Donald Trump was re-elected as the 47th President of the United States of America with the promise of making America Great Again. It sounds wonderful right? It is true that over years American peoples have suffered a lot from rising costs of living, stagnated wages, rising housing prices and...
18 yrs anaweza kuhimili mikiki.. siyo lazima ukioa mzae wakati huohuo. Pili utakuwa umemsitiri coz kukaa home asubuhi mpaka jioni au vijiweni inaweza kuwa changamoto kubwa zaidi. Kaa naye ungea naye kuhusu hayo uliyona wasisi nayo then msikilize, washirikisheni wazazi ikiwezekana fungua ndoa...
Very simple logic, saudia na Tanzania we're on the same longitude 45E, inawezekana kweli wao kuwa one day ahead of Tanzania? Logically is impossible! !! Kwanza dunia nzima hamna sehemu zinazotofautiana siku nzima haipo! !! Sie tuendelee tu kujifariji ila ukweli ndo huo tarehe no moja dunia...
Hata Mandela aliitwa Gaidi baadaye alitunukiwa tuzo ya Nobel. It's true operation thunderbolt was real fine but the truth remains that the acts of Jewish state are the same of the Nazist Hitler.
Mimi naomba kuuliza wanajukwaa: swali la nyongeza;
Let assume pande zote hawana tatizo, je ndoa itafungiwa wapi? Kanisani/ msikitini au bomani. Na kwa wana dini wote watAkwambia ndoa ya bomani siyo ndoa haitambuliki kidini.? Hebu tusaidieni hili pia.
Amiin.
Imeshuhudiwa mbinguni kuwa umesema yaliyo haki na Mungu atakulipa kwa hilo. Binadamu sote ni wakosaji ila aliyebora ni Yule anayekosea hujirudi na kutubu kwa Mola wake. Tukumbushane kuifuata haki huenda Muumba wetu akatujaalia mwisho mwema.
Haya Ni maelezo ya upande mmoja, naomba utujuze kidogo na sababu anazotoa mkeo au visingizio angalau the gifted ones can get the right picture for the right advice.
Ushauri wangu. Andaa bajeti mtoe out hata kwa siku mbili mkapumzike tell her mlikotoka and how you enjoyed your previous good...
Mungu akulipe kila lililojema na akufungulie mambo yako and hereafter akuingize peponi. Binadamu tumekuwa wanafiki vya kutosha, binafsi siamini kuwa kuna mpagani humu jukwani. Wengi tuko either waislamu au wakristo. Pande zote mbili zinaa imeharamishwa waziwazi lakini tunakuja na thread za ajabu...
At least kumsaidia unasema kabisa katika output itakayopatikana utampa %? Angalau akitoka hapo kaujuzi na kamtaji kidogo. Naona kuna fursa hapa... ngoja nifanye tathmini nitakuja na Uzi unaoeleweka wa kuwakwamua vijana.
Hata Mimi first time ilinitesa ila baadaye nikagundua kuwa wengi huwa tuna papara na hatusomi maelezo (requirements ) kwa kina. Hebu zingatia na weka kila kinachotakiwa kila aspect, for sure lazima ifike 70% believe me or not ila ndo reality.
Good news... my dear itakuwa vema zaidi tukiongea kama wasomi na siasa tukawaachia wsnasiasa.. put data like quotations ya hiyo ilani tukichangia tuchangie kama wasomi na sio kwa kutumia mihemuko ya kisiasa. Thank you.
Maendeleo ni process ya kutatua matatizo na changamoto. Hakukuwa na chuo, hatua ya kwanza kimejengwa chuo then kutatua changamoto zinazokikabili ni hatua nyingine!!! If you'll fail to praise even the little you then you'll never praise even if you'll get what you dream to get.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.