Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,346
- 26,143
Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Alhaji Musa Salum,kwa niaba ya Kaimu Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeir,amesema kuwa mwezi haujaonekana na hivyo Waislam wataendelea na mfungo kesho.
Alhaji Salum amesema swala ya Eid itafanyika Jumamosi tarehe 18 na kimkoa itakuwa katika Viwanja vya Mnazi Mmoja na kitaifa ni mkoani Geita.
Chanzo: East Africa Radio
Alhaji Salum amesema swala ya Eid itafanyika Jumamosi tarehe 18 na kimkoa itakuwa katika Viwanja vya Mnazi Mmoja na kitaifa ni mkoani Geita.
Chanzo: East Africa Radio