Dini tofauti ila nampenda

Dini tofauti ila nampenda

Kwa sisi wakristo tunaamini mwanamke hupokea toka kwa mume hivyo yakupasa kudhungumza nae mapema kuhusu mapokeo.kama akikataa Pima kwa nafsi yako...lakini ndoa za Dini mbili mwisho wake huwa mahakamani

asante mkuu kwa ushauri ntalifanyia kazi hilo
 
Unajua ukishazama umezama... usikii mtu yeyote.. kwnza nkushukuru kwa kujitambua mapema make bado hujachelewa tumia mda kuanzia sasa uanze na familia yako uone mitazamo yao afu baada ya hapo hamia familia ya kiken uwasikilize na wao km wanavutia upande wao ama vp.. baada ya hapo utakua umepata namna nyingne ya kutafakari upya juu ya uhusiano wenu 7bu mapenz ya kweli hayawez kuisha kwa siku moja..Na dini katk mahusiano zipo kwa ajili ya kutuwekea misingi mizuri ya namna gan tuish na wenzi wetu na kuleta suluhu pale inapotokea kutoelewana..
 
Ndani mnaleta imani mbili tofauti.
Mtakuja kuwachanganya watoto wasielewe wapi waende linapokuja suala la imani.
Kumbuka kutofungiwa nira na asiyeamini.
 
Unajua ukishazama umezama... usikii mtu yeyote.. kwnza nkushukuru kwa kujitambua mapema make bado hujachelewa tumia mda kuanzia sasa uanze na familia yako uone mitazamo yao afu baada ya hapo hamia familia ya kiken uwasikilize na wao km wanavutia upande wao ama vp.. baada ya hapo utakua umepata namna nyingne ya kutafakari upya juu ya uhusiano wenu 7bu mapenz ya kweli hayawez kuisha kwa siku moja..Na dini katk mahusiano zipo kwa ajili ya kutuwekea misingi mizuri ya namna gan tuish na wenzi wetu na kuleta suluhu pale inapotokea kutoelewana..

ni kweli kaka maana nina miaka mitatu na tumevumiliana kwa kila hali...nipo njia panda kiukwel
 
Habari Wakuu,

Najua wengi wamekutana na jambo hili nina mpenzi wangu mwaka wa tatu sasa ila dini tofauti na nikimuuliza kuhusiana na dini anawaka anasema itakua namtafutia sababu tuachane.

Nifahaishane faida na hasara za kuishi kwa dini tofauti ndani ya ndoa.

Mimi Christian binti Islamic
Hakuna hasara la msingi mapenzi ya dhati tu
 
Wewe mawazo yako yanatoka katikati ya makalio yako wala sio akilini

We kweli punga yaan kwa akili yako ya std 7 eti lazima mwanamke abadili dini!!shida yako muongezeke motoni?toa unyang'au wako,kwanza ili kuniqouet lazima uwe umevuliwa sweta usiridie tena gasho wewe.
 
Oa tu nina ndugu yAngu kaoa mwislamu ila binti alimpenda sana na akaamua kua mkristo onge a nae tu kama lengo ni kuoa mwambie atabadili dini tu
 
Habari Wakuu,

Najua wengi wamekutana na jambo hili nina mpenzi wangu mwaka wa tatu sasa ila dini tofauti na nikimuuliza kuhusiana na dini anawaka anasema itakua namtafutia sababu tuachane.

Nifahaishane faida na hasara za kuishi kwa dini tofauti ndani ya ndoa.

Mimi Christian binti Islamic
Fuatilia dini yako inasemaje kuhusu hilo. Mwenzio aneshajua ndio maana anaaema hivyo.
 
Watoto watayumbishwa sana wapate elimu ya dini upande upi.
Pia kama ni muislamu haswaa tegemea wewe kusilimishwa.
Lakini ujue wakati mwingine atakataa kupika aina fulani ya vyakula ambavyo vinakizana na imani yake.
Akiamua kufunga tegemea kutokupata huduma ya ngono kwa siku zote za mfungo.
Lakini pia kwao ndoa mkataba anaweza kudai taraka wakati wowote ili muachane.
Huyo hakufai kabisa.
 
Bora ingekuwa hata Christian to Christian

Hapo Christian to islam, imani ni tofauti sana lazima katika malezi mpate shida.

Kwa mfano kama wewe ni mkatoliki unakura kitimoto, mkeo imani yake hairuhusu sidhan kama atafurai siku ukiamua kileta kitimoto ndani, kwasasa atakwambia haina shida, mkikaa ndani utaona dhida yake, ugomvi wa ndoa unaanziaga hapa

Changamoto nyingine mtakutana nayo katika vitu kama mfungo mtukufu wa kiislam, niliwai kuona jamaa anamkataza mkewe kufunga nawalikuwa na mitafaruku kweli.

Kuwa makini Wakristo wanafungu katika bible linasema msifungiwe nira na wasio amini

Yan wasio amini katika imani sawa na yako
 
Mimi naomba kuuliza wanajukwaa: swali la nyongeza;
Let assume pande zote hawana tatizo, je ndoa itafungiwa wapi? Kanisani/ msikitini au bomani. Na kwa wana dini wote watAkwambia ndoa ya bomani siyo ndoa haitambuliki kidini.? Hebu tusaidieni hili pia.
 
kuna ndoa mseto,mnachagua mfungie wapi ndoa(msikitini au kanisani) baada ya hapo kila mtu anaendelea na utaratibu wake
 
Nendelea kuongea nae taratibu na mweleweshe anaweza kuwa na wrong conception. Akielewa atafuata mkia, kumbe utapigana na yote lakini conception yake inahitaji kueleweshwa zaidi.
 
We kweli punga yaan kwa akili yako ya std 7 eti lazima mwanamke abadili dini!!shida yako muongezeke motoni?toa unyang'au wako,kwanza ili kuniqouet lazima uwe umevuliwa sweta usiridie tena gasho wewe.

We nyege za uko nyuma zinakusumbua sasa kwa taarifa yako mimi sio basha, na uache kupapatikia wanaume na kulupuka kuleta mazoea ya kingesengese mngese mkubwa ww
 
Kuna watu wanalazimisha watu wengine watukane na kuaribiana siku,ivi inakuaje mtu unakulupuka na kumtukana mtu usiyemjua wala usiyekua na mazoea nae, mimi nimetoa maoni na wewe kama unapinga basi jibu kwa hoja, sasa huyu anaejiita NASMAPESA sijui ni viroba au ni bangi anaamua kulopoka utazani humu wote ni wahuni wenzie hili swala halipendezi na sizani kama hapa ni maala pake. Embu tujalibu kujieshimu na kua na akili za kiutuuzima
 
Hakuna namna lazima mmoja akubali kuachana na ya kwake afuate ya mwenzie .. au akubali familia kuongozwa katika dini moja (watoto).. ila kwa maelezo ya jamaa inaonekana hakuna hata mmoja yupo tayari kuacha anachokiamini

Ndani mnaleta imani mbili tofauti.
Mtakuja kuwachanganya watoto wasielewe wapi waende linapokuja suala la imani.
Kumbuka kutofungiwa nira na asiyeamini.

Watoto watayumbishwa sana wapate elimu ya dini upande upi.
Pia kama ni muislamu haswaa tegemea wewe kusilimishwa.
Lakini ujue wakati mwingine atakataa kupika aina fulani ya vyakula ambavyo vinakizana na imani yake.
Akiamua kufunga tegemea kutokupata huduma ya ngono kwa siku zote za mfungo.
Lakini pia kwao ndoa mkataba anaweza kudai taraka wakati wowote ili muachane.
Huyo hakufai kabisa.

Je wasipopata watoto? Maana watoto ni matokeo na majaaliwa.
 
Kikawaida mwanamke anatakiwa abadilishe kama anazingua piga chini fasta ufanye mambo mengine
 
Back
Top Bottom