Mgodo Mgodoki
JF-Expert Member
- Jul 25, 2014
- 1,399
- 1,368
kabamanya;
Mkishakaa kwenye Maofisi yenu huku mkipulizwa na kipupwe huku vidole vikiwa kwenye laptop mnawaona vijana wasiokuwa na kazi ndio majalala,hawajitambui au ngazi ya kufanikisha madili yenu sio, akisha tembea asubuhi mpaka jioni huku akimaliza soli za viatu, njaa na kiu halafu ili iweje?
Halafu unamshauri aende kuomba msaada eti kwa RC au DC na wakati hao hao ndio wanatuchinjia baharini kwa mipango yao ya kiserikali isiyo na tija kwa vijana kujiajiri au kuajiriwa bila kusahau kupeana nafasi za kazi kindugu au mpaka uhonge hela ndefu.
Mkishakaa kwenye Maofisi yenu huku mkipulizwa na kipupwe huku vidole vikiwa kwenye laptop mnawaona vijana wasiokuwa na kazi ndio majalala,hawajitambui au ngazi ya kufanikisha madili yenu sio, akisha tembea asubuhi mpaka jioni huku akimaliza soli za viatu, njaa na kiu halafu ili iweje?
Halafu unamshauri aende kuomba msaada eti kwa RC au DC na wakati hao hao ndio wanatuchinjia baharini kwa mipango yao ya kiserikali isiyo na tija kwa vijana kujiajiri au kuajiriwa bila kusahau kupeana nafasi za kazi kindugu au mpaka uhonge hela ndefu.
Last edited by a moderator: