Mkami Lum
JF-Expert Member
- Feb 23, 2013
- 414
- 96
miaka saba....
mech 2 kwa mwez
mech 24 kwa mwakw
mechi 168 kwa miaka yote 7
sio mbaya lakin
Wakati mimi hizi 168 ni kwa miezi 6 tu....
miaka saba....
mech 2 kwa mwez
mech 24 kwa mwakw
mechi 168 kwa miaka yote 7
sio mbaya lakin
jifanye jogoo tu, kimbiza, kamata, panda...
Ndugu zangu ndoa yangu ina miaka saba na tumejaaliwa watoto wawili. Kabla ya kufunga ndoa alikuwa mtiifu na mnyenyekevu, baada ya ndoa mambo yamebadilika.
Nikirudi kazini namkuta kalala saa mbili tu anadai nimechelewa. Usiku nikilala wala hanigusi hata, nikiomba mechi anabana miguu, kwa mwezi nabahatisha mechi mbili ambazo zote ni counter attack.
Najiuliza hivi ndoa zote zipo hivihivi au ni mimi tu? Kwa sasa nipo kwenye harakati za kutafuta mchepuko ambao utanipa fleva ila sitaupa full mkataba.
goli la haraka . .pasi 2 tayari kacheka na nyavu.
Akibana miguu mtekenye atalegeza!! Then unapenya na kupiga hizo kaunta atak zako
tafuta mchepuko fasta atajilekebisha na.kwanini ufunge ndoa na wanawake wa siku hiz
miaka saba....
mech 2 kwa mwez
mech 24 kwa mwakw
mechi 168 kwa miaka yote 7
sio mbaya lakin
Duh!!...
kama wewe ni jinsia ya kike,utakuwa mwanamke hatari sana!!
Mwanangu mke ukimwandaa anapanua mwenyeweeeee. Kuwa kocha mshambuliaji, acha kutegemea counter attacks
a kiss for you, huyu kwanza ni mcheza mpira amekariri mechi ni kufunga goli hajui mashabiki pia wanaenjoy zile mbwembwe chenga anakwenda, anakwenda, kapiga kichwa ............ he is no longer romantic in sex ni forward back forward back kama unatwanga mahindi ya makande ya jioni kwakuchelewa,
saa mbili hyo akija haogi, haswaki unanata mwili kama mzinga wa asali unategemea nini.
mwisho kuna kitu umemkera mkeo saaana na hajakwambia ndicho kinaua nasfsi ya maloveww kwako work on it
miaka saba....
mech 2 kwa mwez
mech 24 kwa mwakw
mechi 168 kwa miaka yote 7
sio mbaya lakin
Wakati mimi hizi 168 ni kwa miezi 6 tu....
Eti counter attack ndio ikoje hiyo.
Topic na content haviendani
Ndugu zangu ndoa yangu ina miaka saba na tumejaaliwa watoto wawili. Kabla ya kufunga ndoa alikuwa mtiifu na mnyenyekevu, baada ya ndoa mambo yamebadilika.
Nikirudi kazini namkuta kalala saa mbili tu anadai nimechelewa. Usiku nikilala wala hanigusi hata, nikiomba mechi anabana miguu, kwa mwezi nabahatisha mechi mbili ambazo zote ni counter attack.
Najiuliza hivi ndoa zote zipo hivihivi au ni mimi tu? Kwa sasa nipo kwenye harakati za kutafuta mchepuko ambao utanipa fleva ila sitaupa full mkataba.