Tatizo liko hapa kwetu, mfano Mimi Kuna items nilinunua tangu mwezi wa pili estimated delivery ilikuwa ni March 12 - Apr 11 na ilipofika tarehe 24 March items zikawa zimefika Tz. Kuanzia tarehe ya items kufika kila nikifanya Tracking kwa kutumia app ya 17TRACK inaonyesha mzigo uko Held by...
Baada ya kupoteza kazi akaondoka sasa umepata kazi na umejenga nyumba anataka ndoa, kuendelea kulala nae ndani ya chumba/nyumba moja ni kumpa nafasi ya kukumaliza upesi. Uwe mwanaume timua huyo hakufai ukioa tu kinachofuata ni kukuondoa wewe ili abaki na hiyo nyumba . Mwambie akamwambie mama...
Hapana, siyo kichomi. Hilo ni jina kubwa sana kama lilivyo Apple ndo maana inaitwa Apple of China. Ninatumia Xiaomi mi5 iko vizuri sana kuanzia chaji, inakaa na chaji pia betri yake ni kubwa camera zote ziko vizuri sana. Simu ina zaidi ya mwaka haijawahi kuleta shida yoyote, jinsi ilivyo bora...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.