Recent content by deogratius pascal

  1. D

    Videos & Audio production special thread (Softwares)

    Jamani naombeni yeyote anayejua hatua za kuedit audio kwa kutumia cubase anisaidie
  2. D

    Videos & Audio production special thread (Softwares)

    Wadau wa production ya music mmepotelea wapi
  3. D

    Jinsi ya kuedit audio

    Wakuu naomba maproducer wa audio studio ambao ni Wazoefu wa kutumia cubase programu katika kuedit nyimbo baada ya kurekodia. Please ni procedures /hatua gani unatumia ili wimbo utoke vizuri baada ya kuedit
  4. D

    Makabila ya Tanzania: Tamaduni zao na Historia yao

    Wakuu naomba wenye ufahamu wa wanawake wa rombo anijulishe tabia nzuri walizonazo, tabia zisizofurahisha walizo nazo na je ni wafe material. Naombeni msaada
  5. D

    Minyoo, Amoeba na malaria zisizoisha

    Jamani naombani msaada, nina tatizo la kuugua magonjwa hayo matatu kwa muda wa miaka sita, nikitumia dawa napata nafuu ila baada ya wiki mbili nikipima na kuta bado ipo, hili tatizo linasababishwa na nini? Na dawa gani nitumie ili haya magonjwa yaishe
  6. D

    Mwanaume yamenifika naomba ushauri kama Watanzania wenzangu

    mshukuru mungu umeonyeshewa mapema kabla ya kuingia kwenye ndoa, jitathmini mwenyewe kama una moyo wa kuvumilia kusalitiwa funga naye ndoa ila kama unaona huwezi kuvumilia ni bora ufanye maamuzi magumu mana kuvunja uchumba ni rahisi lakini kuvunja ndoa ni zoezi gumu sana, pole sana ndugu yangu
  7. D

    Mdahalo: Kati ya mwanamke na mwanaume nani anaongoza kuchepuka?

    Mi naona kasi ya wanawake kuchepuka imekuwa kubwa kwa zama hizi
  8. D

    Muepuke Mwanamke anayesema anayaweza Maisha bila Mwanaume

    Nakupongeza kwa mawazo mazuri huo ndo uhalisia
  9. D

    I need a male friend to chat with

    Ok nipe namba yako ya whatsap
  10. D

    I need a male friend to chat with

    Tuwasiliane kwa 0784907632
  11. D

    Ukiona haya kwa mkeo kuwa dikteta haraka

    Vip kuhusu wasabato hawana tatizo hilo?
  12. D

    Videos & Audio production special thread (Softwares)

    Naombeni kujua hatua za kufanya mastering ya audio kwa kutumia cubase
  13. D

    Mkuu wa Mkoa Mara awasimamisha maafisa elimu sita

    Hiyo ndo serikali ya hapa kaz tu
Back
Top Bottom