Mdahalo: Kati ya mwanamke na mwanaume nani anaongoza kuchepuka?

mis lemich

JF-Expert Member
Jan 25, 2017
207
176
Hbari za alfajiri wana jamii..
hebu tupashane..

"Kati ya mwanamke na mwanaume nani anaongoza kuchepuka ??"
 
Wanawake wanaongoza na mpaka leo naendelea kufanya utafiti, kwanini wanachepuka wakati ukimuangalia kwake ana kila kitu, yaan ana nyumba nzuri, anakula vizuri, anavaa vizuri....

Lakini unakuta mwanaume anaechepuka nae hana chochote, sasa unabaki unajiuliza huyu kakosa nini?

Wataalam wa haya mambo mtusaidia kujua sababu ni kipi hasa huwafanya hawa wanawake kuchepuka?

ANGALIZO:- TUNAPOTISHANA mara andaa KY mara mke wa mtu sumu, mara kufumuliwa Malinda nk.... Kwa kutumia vitisho hivyo tunaendeleza kulea na kukuza tatizo.

Cha msingi tuangalie kwanini (kiini cha uchepukaji) tukijua kiini cha uchepukaji itakuwa rahisi sana kutokomeza hii hali, lakini tunapokimbilia kwenye kutishana tunaendelea kukuza na kulea tatizo.

Karibuni.
 
Hii haihawahi kuwa na mshindi ni kama kusema jua na mvua bora nini. Ila pamoja na yote nyie wenzetu wa jinsia pinzani ni kiboko
 
Wanawake wanaongoza na mpaka leo naendelea kufanya utafiti, kwanini wanachepuka wakati ukimuangalia kwake ana kila kitu, yaan ana nyumba nzuri, anakula vizuri, anavaa vizuri....

Lakini unakuta mwanaume anaechepuka nae hana chochote, sasa unabaki unajiuliza huyu kakosa nini?

Wataalam wa haya mambo mtusaidia kujua sababu ni kipi hasa huwafanya hawa wanawake kuchepuka?

ANGALIZO:- TUNAPOTISHANA mara andaa KY mara mke wa mtu sumu, mara kufumuliwa Malinda nk.... Kwa kutumia vitisho hivyo tunaendeleza kulea na kukuza tatizo.

Cha msingi tuangalie kwanini (kiini cha uchepukaji) tukijua kiini cha uchepukaji itakuwa rahisi sana kutokomeza hii hali, lakini tunapokimbilia kwenye kutishana tunaendelea kukuza na kulea tatizo.

Karibuni.
Asanteh sana ... akitokea mtu akalipatia hili ufumbuzi atakua ameokoa dunia nzima ...Na maradhi ya kuambukizana yatapungua
 
Hauwezi ukachepuka na mtu wako so wote ni wachepukaji sababu mna watu wenu mkajimuvuzisha kupeana raha hvyo ngoma sawa
 
Pole ndugu yangu, yaelekea umetingwa haswa usiku ulikuwa mrefu balaa,Vumilia hayana mmoja hayo!.
 
Kwa hii case kuna nadharia mbili 1. jinsia moja inachepuka sawaswa na jinsia nyngne coz ukisema mume anachepuka bas anaechepuka nae ni mwanamke na ukisema mke anachepuka anaechpka nae ni mwanaume...
2. nkiangalia kigezo cha idad ya watu ke ni wng zaid kuliko me na kama ke wote wapo kwny relationshps kiuhalisia ni kwmba kuna me anamilki ke zaid ya moja(as side chick) ili kubalance mlinganyo… w can c 'me' wanachepuka zaid ili kufullfil demand ya nature
(in either case ther ar som exeptional)
 
Back
Top Bottom