Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,275
- 18,352
Maneno ya walimwengu hayo, hakuna kitu kama hicho kama kilikuwepo sikuwahi kukiona wala kusimuliwa na wazazi wangu.Aiseee,
Hii mbona kama kuwekea ng'ombe alama jamani Duuuh
Tabia za kupiga wanawake ni makabila yote tu na ni tabia ya mtu