Videos & Audio production special thread (Softwares)

Videos & Audio production special thread (Softwares)

Miaka yote mmekuwa niki edit sauti kwa cool edit, kwangu ni nyepesi sana thou it looks kind of old fashioned, naomba alie na tofauti na cool edit ila nyepesi kama ilivyo cool edit anisaidie jina
 
Haka kauzi kangekuwa kana enda na link za hizo software ingekuwa poa sana
 
Nmeipenda hii thread, na nimeshai - subscribe kabisa, wakuu mi ni beginner kwenye mambo ya audio production ndo najifunza kupitia fl studio vs 12 tatizo ninalolipata ni kua nikiwa nacheza audio nilizo zitengeneza napata sauti ina crack au inascrachi na haileti ule utamu mzuri wa sauti tatizo inaweza ikawa ni nn?
Ok kuna kitu kinaitwa latecy
Pia nataka nijue unatumia sound driver gani. Kama ni native au ASIO for all

Inawezekana pc yako ikawa na Ram ndogo. Hii husababisha milio fulan
 
Kuna uwezekano wa kutoa beats( i mean drums or any other instruments) kwenye music? Kama kuna application ya kufanya hivyo plZ nijuze
Utaangaika sana ila kuna plugins zinajaribu but no 1 perfect. Jaribu kutumia Virtual DJ ina iyo kitu
 
Back
Top Bottom