Mkuu bado lipo??Group lipo 255762698698
Ok kuna kitu kinaitwa latecyNmeipenda hii thread, na nimeshai - subscribe kabisa, wakuu mi ni beginner kwenye mambo ya audio production ndo najifunza kupitia fl studio vs 12 tatizo ninalolipata ni kua nikiwa nacheza audio nilizo zitengeneza napata sauti ina crack au inascrachi na haileti ule utamu mzuri wa sauti tatizo inaweza ikawa ni nn?
Tafuta adobe premiernaam mi nahitaji kuwa video editor bt sina mwalimu wala program ya kuedit video na audio naombeni muongozo inabidi niwe na program ipi na ipi? nawasilisha
Ukijua kupiga kinanda unaweza piga instruments zote kupitia kinandaivi mkuu ili kutengeneza beats lazima ujue kupiga chombo chochote ?
I recommend Adobe Premier au Final CutTafuta adobe premier
Au sony vegas
Sio freewareInawezekana kui-download hii for free
Audio workstationMkuu naomba unielezee script/screen play
na na software nzuri za Audii editing ukiacha fl studio, adobe audiation
Jitahidi ujuedaah hizo ulotaja sijui hata kimoja !! Inabidi nijifunze aisee niwe napiga izi vitu maana inaonekana raha sana kucheza cheza na midundo!
Utaangaika sana ila kuna plugins zinajaribu but no 1 perfect. Jaribu kutumia Virtual DJ ina iyo kituKuna uwezekano wa kutoa beats( i mean drums or any other instruments) kwenye music? Kama kuna application ya kufanya hivyo plZ nijuze
Labda zile track za mid zipate instrument. Nakushauri tafuta kinanda Yamaha PSRS series kuanzia 710 kinawwza kufanya kazi yakoNawezaje kuconvert Mid kuwa Wav au mp3
Ilikuwepo kwenye kickass torrents. Sasa ishafungiwaMi ni beat maker wadau,nnawezaje kupata nexus 12 plugin?natumia fl studio 12.
Only Virtual dj.mimi napenda kupata dj player nzuri ambayo unaweza kumix nyimbo
Haina ufanisipia vipi wakuu kwa android naweza kupata adobe photoshop
Nenda kanunue dynamic microfone ni bei poa sana kkoNAOMBA MWENYE MIC NAYOWEZA REKODIA VIDEO ZA KUTANGAZA ANICHEKI 0674179570
Tafuta radio zile sonyHivi ukiacha monitor speakers zinazotumika studio ku-balance music ni speaker gani nzuri mtu anaweza kutumia na zikatoa matokeo mazuri japo kwa kuanzia tu kwa home for practice. Ila isiwe subwoofer plz.
Tumia adobe audition 1.5jaman nauliza ni program ya kuingiza audio kwnye beat iliyonzuri na nyepesi kwa mim beginner, nimeanza kupga beat daily tangu mwaka juzi, lakn ninauwoga wa kuzitumia hzo cubase,
Vigumu sanaZa mida waungwana, naombeni msaada wa program ya kutenganisha instrument na sauti katika muziki( kupata ala)