Recent content by Dembele 19

  1. Dembele 19

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Aliyesema Arsenal akikutana na Barca, Arsenal anakufa, aje aongee tena. Kuna wengine walikuwa wanaona project ya Barcelona ishatiki ndani ya mwaka mmoja tu
  2. Dembele 19

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Title contender unakufa "four o'clock" kama umesimama. Bado na wale kuku upepo utakata soon
  3. Dembele 19

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hatufungwi hadi ligi inaisha... AMEN 🔥🔥
  4. Dembele 19

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kusingekalika miaka 2 humu, wangejaa nzi kishenzi
  5. Dembele 19

    Watanzania tuache kusoma hizi Course (Kozi) supply imekuwa kubwa Kuliko demand

    Hii biomedical engineering soko lake limekaaje, yaan kujiajiri au kuajiriwa
  6. Dembele 19

    Watanzania tuache kusoma hizi Course (Kozi) supply imekuwa kubwa Kuliko demand

    [emoji4]haya maneno umenikumbusha maisha ya jeshin
  7. Dembele 19

    Ulianzaje kukaa gheto?

    Nmekula kibishi, sa ntamwaga hela mkuu
  8. Dembele 19

    Ulianzaje kukaa gheto?

    Wakuu me ndo Kwanza nna wiki moja getto. Cku ya kwanza nilipika mchele, nkatoa bonge moja la boko wali kama ugali vle, Ila asa hv nmekuwa fundi kimtindo
  9. Dembele 19

    Najihisi kama muuaji ila inabidi nifanye

    Kasikilize wimbo wa Nikki Mbishi, kijusi.
  10. Dembele 19

    Naomba kujua vitabu vya combination ya PCM Form 5 na 6

    Kwa chemistry tafuta vitabu vya Ngaiza, atashukuru sana baadae
  11. Dembele 19

    Umeme wa 5,000 nimekatwa 2000. Hii haiko sawa!

    Kwamana hiyo badala ya elfu kumi sasa utalipa elfu 24 Kwa mwaka
  12. Dembele 19

    Kwa wale watu wa kikosi Maalum (Makomandoo) mliopo JamiiForums nitashukuru leo mkinijibu haya Maswali yangu yafuatayo

    Niliokuwa Kwa mujibu was Sheria, nulimuuliza private mmoja khusu mshahara wa commando,akasema commando ni Cheo Cha kisen....inabidi baada ya mda uwe umetulia na familia yako umechill.co maisha yote porini tu,hata mishahara Yao wamawazid kidogo tu.
  13. Dembele 19

    Mjue binadamu wa ajabu anaitwa Unju bin Unuk

    Me nikisikia unju bin unuq, najua ni Nikki Mbishi
  14. Dembele 19

    Yawezekana Afande Sele yupo Sahihi?

    Huwezi ukasema Mungu hayupo wakat haumjui.Nisawasawa na umekutana na mtu kwenye sherehe,alaf unamuuliza umemwona Joseph ukumbini?anakujibu sijamwona,unamuuliza unamjua lakin? Anakujibu cmjui.unabaki kushangaa sasa amejuaje Kama Joseph hayupo ukumbini wakat hamjui.Vivohivyo hatuwezi kusema Mungu...
Back
Top Bottom