MtuloBM
JF-Expert Member
- Feb 26, 2020
- 542
- 477
Mimi nikijenga nyumba yangu naweka sola upumbavu sutaki.
Tunatafuta namna
Mimi nikijenga nyumba yangu naweka sola upumbavu sutaki.
Ndugu leo nimenunua umeme wa tshs. 5000 nimekatwa tshs. 2000 jumla sawa na asilimia 45%.
View attachment 1905687
Hapa ndo tumefikia na serikali yetu ndugu zangu. Hivi kama ni kodi ya uzalendo kwa nini viongozi wasioneshe mifano. Asilimia 5 ikatwe kwenye mishahara ya hawa watu: (Rais na makamu, Waziri Mkuu na maWaziri, Wabunge, maRC, maDC na DED). Nimetaja hao watu sababu wao wanaweza ishi kwa marupurupu ya kazi zao bila hata kugusa mishahara!
Piracy and plundering to the underprivileged !Ndugu leo nimenunua umeme wa tshs. 5000 nimekatwa tshs. 2000 jumla sawa na asilimia 45%.
View attachment 1905687
Hapa ndo tumefikia na serikali yetu ndugu zangu. Hivi kama ni kodi ya uzalendo kwa nini viongozi wasioneshe mifano. Asilimia 5 ikatwe kwenye mishahara ya hawa watu: (Rais na makamu, Waziri Mkuu na maWaziri, Wabunge, maRC, maDC na DED). Nimetaja hao watu sababu wao wanaweza ishi kwa marupurupu ya kazi zao bila hata kugusa mishahara!
Huo ndio ushahidi wa kwamba umekatwa mara 3?2000x3 unapata ngapi?
Kwamana hiyo badala ya elfu kumi sasa utalipa elfu 24 Kwa mwakaUkiweka Sola utakuwa hujakwepa upumbavu maana Kodi ya jengo utalipa kwa kupanga foleni kule TRA.
Kwani unadhani kabla ya kuunganisha kwenye luku majengo yalikuwa hatalipiwi Kodi? Mnaopiga kelele Ni wapangaji sisi wenye nyumba miaka yote tunalipa Kodi ya jengo 10000 kwa mwaka tulikuwa hatuwaambii tu maana haiwahisu.