Sasa migomba inatofauti gani na hili dubwasha hapa ambalo makanisani limewekwa?Mwanafunzi mwingine wa Kiranga.
Afande kasema anaabudu migomba yake au bangi zake.
Sasa huyo mtu nzima kweli?
Tofauti ipo sana.Hawana tofauti na wakristo na waislamu
Mimi sio redio. Nilikuuliza tu pale juuNakusikiliza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi sio redio. Nilikuuliza tu pale juu
Kwani umepigwa marufuku yoyote na yeyote?Kwani Mungu wenu hajadiliwi jamani....
SAWA, KWANI WEWE UNA TATIZO NA WENYE IMANI KUWA MUNGU YUPO NA WATAISHI BAADA YA KUFA? AU UNGEPENDELEA WOTE TUFANANE NA WEWE? HAITAKAA ITOKEE.Kingine sitarajii kupambana na hali yangu baada ya kufa!
Naamini nikifa ntakuwa kama nilivyokuwa kabla sijazaliwa.
Nanukunukuu kipengele hikiWanajamii,
Umofia kwenu.
Baada ya msiba wa mzee Magufuli, mwimbaji wa zamani wa mziki wa kizazi kipya maarufu kama Afande Sele/mkali wa rhymes alijitokeza na kutoa maneno mengi yaliyotafsiriwa kama kashfa au matusi kwa Mungu na watu wengi.
Msanii huyo mantiki yake ilionekana kudai Mungu ni dhana tu hayupo kama angekuwepo asingemuondoa Magufuli mapema kiasi hiki wakati bado anahitajika.
Hoja yangu ni kwamba, vipi kama ni kweli Afande Sele yupo Sahihi?
Kwanini...
Mosi, Dini nyingi sana. Haiwezekani Huyu Mungu anayempenda mwanadamu alete utitili wa dini halafu aweke masharti ya kwamba ukikosea unachomwa moto. Ni sawa na uwe mgonjwa uende kwa daktari halafu huyo dk amwage dawa zaidi ya 4000 mbele yako then akulazimishe kuchagua dawa moja sahihi, na adhabu pale tu utakapokosea.
Pili. Mwingiliano wa vitabu. Qur'an na Biblia kuna mwingiliano wa visa vinavyofanana, pamoja na wahusika. Mfano Mariamu, Issa(yesu) Musa, Ibrahim pamoja na wengine wengi. Hii sio kufanana kwa bahati nasibu tu ila kuna mmoja alinakili kutoka kwa mwenzake na/ kulingana na mazingira yanayofanana basi hivi ni visa vya kubuni ambavyo ilikuwa haiwezekani kuvikwepa, ni sawa na ngano za Kiafrika ambavyo huwezi kumkwepa mhusika "zimwi".
Eti, Mungu anajuwa yote (Omnipotence), kwanini hakugundua mapema kama shetani angeleta zogo kwa Adam na Hawa? Baada ya Ibilisi kupambana na majeshi ya Mungu akashindwa alitupwa duniani, then anamuumba mwanadamu anamweka duniani. Anaweza kumwacha mwanao unaemoenda alale chumba kimoja na chatu? Kwanini asingetuweka hata sayari ya Mars.
Mungu na shetani sio maadui.
Hii inajidhihirisha pale anapopiga stori na Shetani, mwanzoni kabisa mwa kitabu cha Ayubu.
"Shetani akiwa anatembea zake duniani akiwa anapunga upepo, alikutana na Mungu, Mungu akamuuliza ... Umenionea mtumishi wangu Ayubu...."
Kwa muktadha wa mazungumzo hayo, viumbe hawa hawawezi kuwa maadui.
Tano, kama Mungu anabusara asingeweza kumwacha shetani akae pamoja na mwanadamu.
Kumbuka shetani alikuwa malaika, ambaye licha ya uwezo wa jeshi tiifu la Mungu alifanikiwa kupambana nalo kwa muda mrefu, mwanadamu angewezaje kukaa na jeshi la Shetani sasa, au Mungu hakujua.
Mungu pia hufa kutokana na maendeleo ya wanadamu.
Wanadamu wamekuwa na miungu wengi sana ambao kulingana na wakati na maendeleo ya sayansi hao miungu hufa na kupotea, mfano ni NIKE Mungu wa vita, ATLAS mungu aliyeshikilia/beba mabegani dunia hewani isiporomoke, VULCA, mungu wa moto na hasira aliyekuwa akikasirika hufuka moto toka ardhini. (Ambaye kwaye tumepata neno Volcano)
Je, unahakika huyu Mungu unayemwamini sasa hatakufa kutokana na wakati?
UNA UHAKIKA?
Umemnukuu tofauti Sele kwani yeye alimtukana Mungu, hakusema Mungu hayupo. Huwezi kutukana kitu ambacho hakipo. Kwa kuwa umemnukuu tofauti, maelezo yako yoote pamoja na wingi wake, hayana maana yoyote kwani yanaelezea kitu tofauti na kilichozua mjadala. Na kwa kuwa upo nje kabisa ya mada, basi uzi wako ufungwe, vinginevyo labda umnukuu mtu mwingineMsanii huyo mantiki yake ilionekana kudai Mungu ni dhana tu hayupo kama angekuwepo asingemuondoa Magufuli mapema kiasi hiki wakati bado anahitajika.
Hivi unapokuwa na kiatu chako huwa kinakuamulia cha kufanya au wewe ndo mwenye maamuziWanajamii,
Umofia kwenu.
Baada ya msiba wa mzee Magufuli, mwimbaji wa zamani wa mziki wa kizazi kipya maarufu kama Afande Sele/mkali wa rhymes alijitokeza na kutoa maneno mengi yaliyotafsiriwa kama kashfa au matusi kwa Mungu na watu wengi.
Msanii huyo mantiki yake ilionekana kudai Mungu ni dhana tu hayupo kama angekuwepo asingemuondoa Magufuli mapema kiasi hiki wakati bado anahitajika.
Hoja yangu ni kwamba, vipi kama ni kweli Afande Sele yupo Sahihi?
Kwanini...
Mosi, Dini nyingi sana. Haiwezekani Huyu Mungu anayempenda mwanadamu alete utitili wa dini halafu aweke masharti ya kwamba ukikosea unachomwa moto. Ni sawa na uwe mgonjwa uende kwa daktari halafu huyo dk amwage dawa zaidi ya 4000 mbele yako then akulazimishe kuchagua dawa moja sahihi, na adhabu pale tu utakapokosea.
Pili. Mwingiliano wa vitabu. Qur'an na Biblia kuna mwingiliano wa visa vinavyofanana, pamoja na wahusika. Mfano Mariamu, Issa(yesu) Musa, Ibrahim pamoja na wengine wengi. Hii sio kufanana kwa bahati nasibu tu ila kuna mmoja alinakili kutoka kwa mwenzake na/ kulingana na mazingira yanayofanana basi hivi ni visa vya kubuni ambavyo ilikuwa haiwezekani kuvikwepa, ni sawa na ngano za Kiafrika ambavyo huwezi kumkwepa mhusika "zimwi".
Eti, Mungu anajuwa yote (Omnipotence), kwanini hakugundua mapema kama shetani angeleta zogo kwa Adam na Hawa? Baada ya Ibilisi kupambana na majeshi ya Mungu akashindwa alitupwa duniani, then anamuumba mwanadamu anamweka duniani. Anaweza kumwacha mwanao unaemoenda alale chumba kimoja na chatu? Kwanini asingetuweka hata sayari ya Mars.
Mungu na shetani sio maadui.
Hii inajidhihirisha pale anapopiga stori na Shetani, mwanzoni kabisa mwa kitabu cha Ayubu.
"Shetani akiwa anatembea zake duniani akiwa anapunga upepo, alikutana na Mungu, Mungu akamuuliza ... Umenionea mtumishi wangu Ayubu...."
Kwa muktadha wa mazungumzo hayo, viumbe hawa hawawezi kuwa maadui.
Tano, kama Mungu anabusara asingeweza kumwacha shetani akae pamoja na mwanadamu.
Kumbuka shetani alikuwa malaika, ambaye licha ya uwezo wa jeshi tiifu la Mungu alifanikiwa kupambana nalo kwa muda mrefu, mwanadamu angewezaje kukaa na jeshi la Shetani sasa, au Mungu hakujua.
Mungu pia hufa kutokana na maendeleo ya wanadamu.
Wanadamu wamekuwa na miungu wengi sana ambao kulingana na wakati na maendeleo ya sayansi hao miungu hufa na kupotea, mfano ni NIKE Mungu wa vita, ATLAS mungu aliyeshikilia/beba mabegani dunia hewani isiporomoke, VULCA, mungu wa moto na hasira aliyekuwa akikasirika hufuka moto toka ardhini. (Ambaye kwaye tumepata neno Volcano)
Je, unahakika huyu Mungu unayemwamini sasa hatakufa kutokana na wakati?
UNA UHAKIKA?