kitaruo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2018
- 201
- 161
Nchi kama marekani vijana wanasoma mwisho high school
Wengine wanakimbilia mtaani kuahiajir, ukiangalia hata big tech giants, either waliacha chuo au hawakuenda kabisa, na wanafanya vizur
Namaanisha nn, watanzania tunatakiwa tutoke kwenye dhana ya kuona elimu ya chuo itamtoa mtu, hakuna, ukishapata tuu knowledge, hata kama n kidogo inakutosha kufanya kitu mtaani
Nigeria wanaomaliza chuo ni 500000 kila mwaka, serekali haiwez kuaji wote, lakin serekali imakuwa ikiwasupport vijana na schoolarship, ndo maana wa nigeria wako kila mahali, na wanafanya vizur
Wengine wanakimbilia mtaani kuahiajir, ukiangalia hata big tech giants, either waliacha chuo au hawakuenda kabisa, na wanafanya vizur
Namaanisha nn, watanzania tunatakiwa tutoke kwenye dhana ya kuona elimu ya chuo itamtoa mtu, hakuna, ukishapata tuu knowledge, hata kama n kidogo inakutosha kufanya kitu mtaani
Nigeria wanaomaliza chuo ni 500000 kila mwaka, serekali haiwez kuaji wote, lakin serekali imakuwa ikiwasupport vijana na schoolarship, ndo maana wa nigeria wako kila mahali, na wanafanya vizur