Mi nakumbuka wakati nipo Azania form one mwanzoni kabisa wakati bado ningali mgeni, kunu kibaba cha form IV kikaja kikanambia pale Azania wanaokwenda ni wale wenye akili nyingi na wanaojua English. Then kikaanza kuniongelesha vocabulary za Biology Chemistry na Physics ambazo sikuwa kabisa na...
lazima mgawanyo wa majukumu uwepo aisee hata kama baadhi ya sehemu mnashirikiana. mwanaume anabase kwenye kutafuta pesa na mwanamke kwenye vyombo, kufua, kupiga deki na kadharika.
Ebana hiyo inafanaa na mimi ilinitokea darasa la 7 mwaka 95. nilimuandikia barua binti mmoja ya kimapenzi na kumwambia kimaandishi anijibu, matokeo yake ni kwambaikawa kila nikimuona yule binti badala ya kumuuliza majibu ya barua yangu, nikawa naona aibu na kumkwepa matokeo yake mpaka namaliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.