Chawa[https://upload]
Chawa wa kichwa (Pediculus humanus capitis)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya:Animalia (Wanyama)
Faila:Arthropoda (Wanyama wenye mwili wa pingili na miguu ya kuunga wasio na ugwe wa mgongo kama wadudu, nge, buibui)
Nusufaila:Hexapoda (Arithropodi wenye miguu sita) (bila...
Anakimbia hadi 16kph
Anaweza kusimama na kifikia 1.5m
Anaweza "kugonga" zaidi ya mara 20 kwa wakati mmoja
Ana sumu kali, akikugonga usipopata tiba ndani ya dakika 30 unafariki
Hufukuza magari na kujishikiza kwalo, ili ukisimama na kushuka tu, unaye!
Hukaa pia juu ya miti na kuvizia wapitao...
Haujui tu
Binti zangu wamesoma hapo, najuwa ninachokisema.
Wana nidhamu ya hali ya juu.
Hata kama una mtoto legelege, akifika pale utashangaa likizo ya kwanza akirudi kwako atakavyokuwa amebadilika.
Wanastahili
Tuache wivu usio na maana,
Tusiongee tusiyo yajuwa,
Tembelea ile shule uone walivyo makini.
Kuanzia kutunza muda, kazi za ziada pamoja na masomo.
Ni kweli kabla ya kuingia pale lazima mwanafunzi afanye mtihani wao, ambapo waliofaulu vizuri ndio huchaguliwa, hakuna rushwa.
Hivyo siri ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.