Iwensanto
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 1,224
- 1,159
Hata Sikonge wapo
Nenda wilaya ya Urambo au Igunga Tabora wapo koboko wakutosha tena na zaidi ongea na wenyeji wa vijijini fanyeni mambo by the way mkuu koboko ni nyoka hatari Sana natumaini unajua hili.


