korokwincho
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 1,032
- 1,175
2913 watts 3002913 vs 2812 ipi inagonga zaidi mkuu?
2812 watts 200
Jibu unalo
2913 watts 3002913 vs 2812 ipi inagonga zaidi mkuu?
Hahahahaha humu mauaji sasaKituo kinachofuata mamaeeeeView attachment 2086259
Nimegoogle picha ya 2812 na 2913 naona zinafanana sana!!2913 ina watts 300 hence more kicks, ila zote zikiwa on par tofauti ni ndogo maana la 2812 nalo linagonga balaa na watts ni 200 rms
Kubwa yake ni namba)model gani?Zote zina dundo la maana😅 chagua yeyote kati ya hizo 2 itakutosha mziki wake ni mnene sana😅😅😅
Niuzie hiyo 2913 make maduka ya kodtec hazipatikaniHyo 2812 ni watts 200
Niliyonayo ni 2913 ni watts 300
Yaani hapa mingoma iliyokuwa mibaya kwangu sasa hvi naipenda kupitia kodtech
Mibiti ya iyo laizer inasound vizuri kumbe
AngaliaNiuzie hiyo 2913 make maduka ya kodtec hazipatikani
Pamoja na hawa. Kodtec subwoofer KT 2913Angalia
Kariakoo Mall
Unaweza chukua 2812 ipo vzr tu kaka...hauto jutiaNiuzie hiyo 2913 make maduka ya kodtec hazipatikani
JBL hela yake imesimama,Jaribu JB
Hutojuta
Mimi mwnyewe nimebahatisha hyo 1 tu tena ilikuwa sample mahaliNiuzie hiyo 2913 make maduka ya kodtec hazipatikani
Naiona Dar shopping centre kwa laki 4 na79.Mimi mwnyewe nimebahatisha hyo 1 tu tena ilikuwa sample mahali
Yaani hta uje na laki 7
SIKUUZIIIIII
Nimewacheki insta wameniambia bei ni sawa kwa hizo zote mbili sijafahamu kama ameteleza ulimi ama la. Nasubiria nirudi town nikajionee mwenyewe.Hyo 2812 ni watts 200
Niliyonayo ni 2913 ni watts 300
Yaani hapa mingoma iliyokuwa mibaya kwangu sasa hvi naipenda kupitia kodtech
Mibiti ya iyo laizer inasound vizuri kumbe
Anhaa kama ni hivyo basi freshZote zina dundo la maana😅 chagua yeyote kati ya hizo 2 itakutosha mziki wake ni mnene sana😅😅😅
Mkuu juzi nilikua kwenye kipub goba nikaiona kodtec nikaipenda sana sasa nataka kujua yafuatayo2913 hio
Hio hio ndio nzuri mkuu imekaa vizuri sanaMkuu juzi nilikua kwenye kipub goba nikaiona kodtec nikaipenda sana sasa nataka kujua yafuatayo
1.je kuna nzuri zaidi ya hii?
2.ni aina gani hii na je nzuri yake ni ipi?
3.bei zake zipoje? Nitakushkuru mkuu
View attachment 2092304