Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Mzee kigumu hapo ni nini kwako kuamini? Miaka 10 iliyopita ambapo huyo jamaa alikuwa na hiyo Nokia E71 ni mwaka 2011. Mwaka 2011 simu zilikuwa zishatapakaa. Muhimu pia kutofautisha maisha yetu. Kuna wenzako unakuta wana kaka, dada, baba, wajomba, mashangazi waliowazidi ambao wanapochoka kitu au wanapopata vingine huwapa wa chini yao.
Kuna uzi niliwahi kuchangia na kuwaambia watu mwaka 2000 tayari namiliki simu walishangaa sana, na naamini wengine hadi leo hawaamini kile nilichoandika!
 
Leteni chai
FB_IMG_16415315236281766.jpg
 
Mdogo wangu, Mtu anayenifaa sana

Christimas Eve, ilinikuta nikiwa njiani narudi kutoka kaskazini kurudi dsm baada ya ghafla isiyoweza kutibika kunihitaji kuwepo dar, huko nilienda na gari binafsi, ila kwa uharaka wa safari ikabidi nikwee twiga chaap kwa haraka baada ya lisaa nipo kwenye Jiji la makala

On my my back nikamcheki mdogo wangu wa kike yupo chuo kimoja hapa town achukue mkweche wa mshua aje kunipokea ambao nitutumia kwa huo usiku,

Dogo hakuniangusha nimetua town huyu hapa yupo na kabinti kazuuuri hatari mambo yangu kabisa nasikia tuu shikamoo kaka ... Nkasema Leo, usiku huu Yesu anazaliwa, sijui... Huyo Binti ni rafiki yake, niite room mate mwenzake huko chuo, waliamua kurudi home kwa sababu chuo hawakuwa na likizo na kwao ni mbali...niseme ni mbichi na mrembo kama alivyo mdogo wangu, umri sawa n.k wanaendana

Ngoswe penzi kitovu cha uzembe, mawazo ya kazi yakafutika nikawaza mambo mabaya yasiofaa juu ya yule binti, shetani kashanivaa, nikamwambia dogo tunapitia sehemu mbili tatu, kisha nawarudisha home, sawa? Sawaaaa....

Pitia kiwanja cha kwanza cha pili, tunafahamiana mdogo mdogo, stori hapa na pale dogo ananiangalia tuu, kashausoma mchezo, na anajua kaka yake niko single kitambo, dogo akataka kurudi home rafiki yake anataka bata, maana niliwapa bata hapo tunakula upepo cape town fm, nikampanga dogo kwenye text, your friend looks promising, i can finally settle! ...akajibu utajua mwenyewe nkajua nshapewa VISA, nipewe nini tena hapo

Konyagi zangu ziko kichwani nikamwambia dogo usitusumbue, chukua uber tutakukuta nyumbani, kama huwezi kutuvumilia tusherehekee kwa amani, kaita uber huyoooo...tukabaki mtu bee, daah jamani kale katoto ni katamu, katamu sana, kiukweli niliamua kutoboka zaidi tukalala pale coral beach, ameamka anaangalia bahari tuu chupi kaloweka, nikalipa tena siku ya pili na ya tatu, naenda kazini ninarudi, dogo alimsaidia, kutuma nguo zake, baada ya hapo akarudi chuo, sa hivi ndio demu wangu mpya, na dogo anaomba nisimvunje vunje moyo rafiki yake, nkajisemea, sio kwamba napenda kuvunja, moyo hivi vitoto havijatulia najua atabugi tuu soon itakula kwake

NB. Najua pia kuna miamba inavunja vunja dogo huko chuo kwa hiyo msinihubirie hayo mambo, Tit for Tat, tena mimi ninao wanne chuo na wanaliwa vizuri tuu
chai ya kimataifa boss
 
KULA KIMASIHARA ILIVYOTAKA KUNITOA ROHO
Eeh bwana eh hizi kula kimasihara sa zingine noma sana! Jana natoka zangu jogging usiku nkakutana na dem flan chap nikachukua no! Sasa leo mida ya mchana nimeshiba ugali dona kiutan nkamwambia yule dem njoo maskani kweli akaja ila akaja na mtoto wa dada ake kwanyo nkashindwa kumla! Jion nimetoka jogging nkamwambia njoo tena akaja kweli! Alivyokuja me nkamparamia bila kupoteza muda wala nini! Nikiwa juu yake akanambia vaa condom, nkamwambia mbona mapema kuvaa condom akanambia basi njoo nkunyonye mboo!! Dem akanyonya mboo mpaka nikamwaga! Baada ya hapo me mood ya kumchakata ikakata maan tangu nimeanza mazoezi natafuta tu madem wa kunyonya mboo staki me kujishughulisha sana!

UTATA ULIPOANZIA
Baada ya hapo sasa tukaanza kupiga stori za kufahamiana kumbe yule dem ni askari magereza aisee!! Sasa me alivyonambia hivyo nkashangaa maana ni pisi kali af mdogo kiumri kabisa! Basi chap nkamwambia tusepe nkusindikize kwan dem anataka kuondoka sasa!! Aisee kangangania hatak kuondoka geto kwangu! Nikatumia akili nkamwambia twende tukale akakubali! Tulivyofika njian me nkamchoropoka akashangaa tu huyo napotelea!
Hapa kantumia text kwamba we kimbia ila utanikuta mlangoni! Nimepanga nisirudi home aisee!
NAWASILISHA

View attachment 2072639
wewe dogo usilete utani kwenye huu uzi wa kimataifa. unapizije kwenye meno
 
kwamba usiku umegonga demu asubuhi tayar una UTI, usimsingizie mtoto wa watu tena itakua ww ndo ulimwambukiza,

mpigie nayeye mwambie akapime atumie dawa asije ishia kwenye PID kwa sababu yako

We mshanba wa wap hujui kisonono unaita uti
 
kwamba usiku umegonga demu asubuhi tayar una UTI, usimsingizie mtoto wa watu tena itakua ww ndo ulimwambukiza,

mpigie nayeye mwambie akapime atumie dawa asije ishia kwenye PID kwa sababu yako

Wewe Ndio uliumwa au Mimi hapa? Au unaijua afya yangu zaidi ?
 
Kisaa kitamu ila hio incubation period ya huyo mdudu ni balaa

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app

Mimi sijawai kuumwa huo ugonjwa na nlipoona reaction yake ndipo nkahaha nkihisi ni kisonono nlipoenda kupima nkaambiwa nna UTi na nkadungwa sindano na dozi nkapewa sasa nashangaa mnaoleta ujuaji wakati majanga yamenikuta mimi, ngachoka.
 
Mim sio mwandishi mzur sana lakin kisa ni hiki hapa.

Tarehe 5/1/2022.....Tupo kwenye harakati za bajeti za Halmashauri kuna dili moja nilifanya na dada mmoja wa kazin pale inshu furani ya magendo.Maraa paaa oyaaa njoo uchukue chako nimeshapewa hela mim, mwamba nikasema poa nakuja bosi namalizia bajeti hapa then nakuja.
Yule dada ni style fulani modo lakin ni mtu mzima kidogo ila namkubali maana anamisimamo sana kwenye kazi.
Kila nikitaka kusepa Celling ya Basket haijawekwa kwa hiyo Katibu wangu akawa anazingua ukizingatia mim ni IT wanaonitegemea pale..
Mwamba nikasema basi isiwe kesi ngoja nikomae hadi mwisho.
Imefika saa moja usiku Celling ya BF bado haijawekwa nikasema mim nasepa wadau kesho nayo siku.
Kipindi natoka jamaa akasema oyaa unaelekea wapi mwana nipe lift niache mbele hapo.Basi mwamba nikampa lift hadi akasema niteme hapa.
Mim nikavuta uzi wangu kwa yule dada kujua kama yupo wapi kwa muda ule ingawa alishasema kuwa amesepa home, maana ni aina fulani ya mabint wacha Mungu sana kwa hiyo kila dakika Chuch.
Q-:upo wapi Bosi wangu..?
Akajibu nipo home......
Nikasema naweza kupitia ule mzigo please maana nilikuwa na kiu ya beer 3.
Akasema poa njooo , ukifika maeneo fulan nijuze , nikasema poa.
Nikawasha mkweche wangu hadi nikakaribia pale, ni mitaaa fulan geti kali mixcer madoni.
Q:- Nipo hapa akasema poa nisubili naja....nitatulia zangu kama dakaika 5 geti likafunguliwa kisha Q:- akatoka nje.
Akavuka barabara akaja nilipo paki mkweche wangu

Q:- huwa ninamuona akiwa amevaa nguo za kazin huwa simtilii manane sana, saa siku hiyo alivaa kigauni kifupi na kinaishia kwenye magoti....umbo lake zuri lilionekana , maninaaaaa Q:- anahips nzuri hadi nikashindwa kusema neno na nikawa nimeduwaaa tu.

Q:-Oya karibu kwangu bwana naishi hapa mim, ila familia ipo dar , kwa hiyo naishi kigeto geto tu, sikuwa najua kama anaishi alone.
Q:- akasema ingiza gar japo upate hata soda tu, maana ndio baraka zenyewe.Akafungua geti....Passo ikazama

Hiyo nyumba ni Mixer wapangaji na wamafunzi kibao lakin kila mtu anautawala wake humo.Nilivutiwa na mazingira yale japo nilikuwa nawoga sana.

Q:-Karibu ndani, basi nikazama akanivutia kimeza akaweka peps ya baridi na bei imepanda 700 siku hizi uchumi wa kati huu.
Akanipigia mahesabu pale ya ile magendo yetu si unajua magendo ya Halmashaur kwa sisi IT., basi nikapewa changu nikaweka mfukoni.
Hadi hapo sasa inakaribia saa mbili na nusu News ITV inaendelea na yeye alikuwa anangalia Movie ya 007 ile ya Casino Royale
Q :- Nashukuru sana bwana hapa naweza kwenda kupata beer mbele huko...tukacheka pale nikaaga kuwa naomba niondoke.....
Akasema poa haina shida , basi akawa anasogelea ile meza ndogo ili atoe chupa ya soda na ilikuwa imekwisha .
...............................
Kipindi anapeleka mkono ile meza ikawa kama imecheza baada ya mm kuigusa na mguu pindi nataka kusimama, maraaa paaa chupa ikawa inaanguka chini......
Q:-akawa anaidaka na mim nikawa naidaka kwa wakat mmoja bila wote kujua, yeye akawai chupa na mim nikashika mkono wake pamp kwa juu hivi,
Akasema daaah hii chupa bwana inataka ilete ajali.
Mim nikawa nimeduwahh tu na ule mkono maana niliona nimegusa ngozi laini kama mtoto mchanga, jamaan Q:anangozi nyororo sana.
Hapo sasa kichwa cha chini kikasema ndugu unajua nipo kazin na huu ni mwaka mpya sijaanza kusoma kilometer zangu.Jaman Q:-Akaweka chupa chin na akasimama , kwa hiyo yeye yupo mbele yangu nikatazama macho yake jaman, kifuani mwake jamani nikawa nazid kupagawa tu mim.
Q:- Ulipita ukimya furani hizi, badae nikasema liwalo na liwe hata nikifumwa, nikamkumbatia Q-:kwa nguvu nae akajaaa, basi wapenenz watazamaji.Kwa ngozi nyororo ya Q na zile nguo alizovaa zilinifanya niendeee na utundu kama Rick boy alivyonifundisha kupitia uzi pendwa
Nikafunga mlango nikaanza touch mwili mzima kama natafuta usb port niweke frash, wajumbe nilifanikiwa kumteka Q, akaanza miguno pale , nilipeleka fingure touch sana , nyonyo sana chuchu
Kushusha mkono chini mbususu imelowa kiwango cha lami, basi endeleza touch
Baada ya kumsugua sana na ******hatimae nikatoa Bull kwenye pochi maana huwa siachi silaha ya vita kama angalizo,
Basi sikuwa na muda mrefu nikapiga moja ya haraka, kisha nikapandisha surual nikatoka nje,Q:-anajua mayeno jaman, ni age goo lakin yupo vizur.
Asante sana Q kwa kunitunukia tunda msimu mpya huuu.
N.b
Hatujatafutana hadi leo na mim naendela na bajeti sijui tukionana itakuwaje.
Naomba kuwasilisha ila Q lazima nirudi tena kwake nirudie show kama atakubali.

Celling ya Bf bado lakin.
Naomba kuwasilisha
 
Mimi sijawai kuumwa huo ugonjwa na nlipoona reaction yake ndipo nkahaha nkihisi ni kisonono nlipoenda kupima nkaambiwa nna UTi na nkadungwa sindano na dozi nkapewa sasa nashangaa mnaoleta ujuaji wakati majanga yamenikuta mimi, ngachoka.
Achana na hao wajuaji mi naelewa maana yashanikuta saa 10 nilichakata kufika saa tano night shift mashine inacheua
 
Nilikuwa na mipango hiyo aisee Jana imeyeyuka Kuna mdada ni jirani yangu anamtoto wa miaka kama 4 hivi Sasa siku mwaka mpya nikawabeba watoto wangu (wao wanaumri mkubwa kuliko mtoto wa jirani) wakati natoka home wakamuona yule mtoto mwenzao nikamtania kijana wangu kuwa umemuona mchumba wako akatabasamu nikashusha kioo nikamuita mama mkwe njoo akaja nikamwambia apande kwenye gari, nikawapeleka Mlimani City wakanunue bites na wacheze kidogo kabla muda wa msosi haujafika. Jirani akamsaka mwanae hajampata ndipo akamuuliza wife ikabidi nipigiwe simu nikamwambia nipo nae na wapo na wenzao, baada ya kurudi nikamshusha jirani akanishujuru sana. Sasa mlo wa kimasihara ukawadia Jana, Mimi nipo natembea kama kunyoosha mwili mbali kidogo na home mara namuona jirani nae anatoka kazini, alanipa hi! Maswali mengi Kisha akaomba anipoze Koo Kwa kinywaji nikasema poa ila nikaomba isiwe mitaa ya home watu wasije wakachukua stori akakubali. Tukachukua bajaji Hadi mahalo Fulani Kuna bar ila Iko ichochoroni tukapata kinywaji mara akasema hapana soda tu maomba niagize kinywaji kigumu tupate nikamwambia kweli akasema serious nikamuonya kuwa nikigonga hicho napandwa na wazimu mguu wa tatu utanisumbua akacheka sana Kisha akasema hata ukisumbua si mkeo yupo nikamdanganya kuwa anaumwa Yuko kwenye mambo yenu Yale. Akasema basi usihofu mambo yatatatuliwa tu nikasema mmmh! Kweli tulipata gamble nikaona huyu ni kumletea K vant nimix Ili kichwa kiwake moto fasta, aisee dk 30 nyingi nikaomba chumba nikala jirani. Sasa Cha kushangaza ananiambia eti alitaka kunipa pongezi Kwa namna navyomjali Binti yake maana Kila nikitoka safari huwa lazima nimletee kitu kama natokea njia ya Iringa ni mwendo wa youghat za Asasi, kama ni Dom Zabibu Ile miezi ya mavuno nk, aisee tuendee kutenda mema Kwa majirani
 
Achana na hao wajuaji mi naelewa maana yashanikuta saa 10 nilichakata kufika saa tano night shift mashine inacheua

Acha tu man na Sijawai upata huyu Dogo aliniaribia mwaka mpya kinoma yani ilikua balaa mkuu.
 
Back
Top Bottom