Wamebebwa kwenye viti maalum ,coz watoto wa viongozi . viongozi wapo huku mtaani. Wanazunguka tu na baasha za kaki kutafuta japo utendaji mtaa waonekane.
Wajinga ndio waliwao!!! teh teh teh!!! Endeleeni kuwaibia watu mikoani Dar mmeshindwa.Wana JF Hakuna kampuni ya mawasiliano ya simu inayoitwa BOL .nyinyi ni wezi mnatambulika hivyo na si mbali tutawabaini
Hao wazinguaji kwanza hawajasajiliwa na ni wezi ndio maana hata line zao hazina hata namba na wanapokuja sehemu kuuza line wanakuja na mtambo wao wanauseti mazingira Yale Yale ukijalibu kuweka line inasoma ukiondoka nayo kwenu chenga huku Dar wamekimbizwa kwa kuwaibia wetu na hiyo campuni ya...
Jiunge kwenye safari ya matumaini na Edward Lowasa ( EL).Tupate ukombozi wa ajira kwa Vijana. "Tuliuzunika pamoja, tulilia pamoja na tutafurahi pamoja"
Sio rais pekeyake na iGP ndio wahusike na usalama wa nchi, hadi wewe unausika na usalama wa nchi yako umetoa taarifa ngapi za usalama wa nchi yako? Au lawama tuu ambazo hazina mashiko mmezoea?
Naona unampenda EL kweli kweli hadi unamwona kila mtu yupo kazini kama nyinyi na first .....wenu kumnadi memb..kila kona ingawa hakubaliki uraiani ila hatushangai wewe kumtaja hata kama unamchukia utamtaja tu, anamvuto kwa jamii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.