TL. Marandu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 3,625
- 5,807
- Thread starter
- #41
So far Kama akiachana Na cheap Politics, she can be Judged on her own merits but honesty for her age she seems like a politician who will go places.Mkuu nadhani shida ya baba yake ni elimu, yaani elimu but mzee alichezesha karata zake vizuri aka invest kwa mwanae, kawapa elimu na kweli binti kaonesha uwezo, kama mleta Uzi alivyo sema, Halima yupo vizuri up stairs. Ila kua ukweli mkuu, uliomba picha ili umfaham kweli au umejaribiwa? Binti kaumbika bwana. Mzuri wa sura na akili pia; vijana ambao bado mkono single, fanyieni kazi ushauri wa Bill Gate yaani, kuzaliwa na baba masikini hilo sio kosa lako, kua na baba Mkwe masikini hilo ni kosa na uzembe wako.