Kwani Picha nani kuvujisha? Hakukuwepo waliopatikana ikulu wakati wa ule mkumbatio hatukuwepo kwanini tuhukumiwe kwa kupata hizo taarifa?
Dah! Sasa Polepole tutapata wapi taarifa zake?
Muda mwingine sijui huwa mnawaza nini? Kwahiyo huyo mtoto hata shule asipelekwe mpaka atakapofikisha miaka 18 ndio achague asome au asisome? Mbona mbona siasa watoto wanafundishwa wakiwa wadogo? Mbona kuna watoto wanarithishwa ushabiki wa simba na yanga mpaka majez wanunuliwa? Iweje kwenye imani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.