Kwani si umesema wanafanya biashara ya juisi, kwanini uwawazie mabaya, hata akiwa na sponsor kuna shida gani Mkuu au tongoza mmoja uwe sponsor wake ili mambo yasiwe mengi bwashee
Ni kwasababu kuna jitihada za makusudi kuhakikisha jinsia ya kiume inakuwa chini, kuanzia kwenye sheria za nchi na vyombo vyote vinavyohusika na ustawi wa jamii kwa kumuona mwanaume ndio chanzo cha migogoro,
Hakika takwimu zinambeba, ndio raisi ameua maelfu ya watanzania ili abaki madarakani, haswa ni kweli takwimu zinambeba ni rais ambaye ameshinda kwa kishindo kikubwa asilimia 98% lakini bado anaomba maridhiano sijui kwa nini,
Hivi Bwawa la Nyerere limefikia wapi, tulitakiwa tuwe tunauza umeme...
Unaongea pumba tu, na kitakwimu yako ya kwenye makaratasi, wenye mbeya ndio tunaijua mbeya yetu, unasema wizara ya kilimo ina mahusiano gani, kwani hujui kwakuwa ikulu imehamia Dodoma serikali inaboresha miundo mbinu ya barabara na kuhakikisha Dodoma inakuwa na hadhi, nilijua unatumia akili...
Kama ulivyosema unampambania mwanamke mzuri ukishampata na kulala naye baadaye unamuona wa kawaida, unapambana kutafuta pesa ukishazipata ni za kawaida
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.