Recent content by Daudi1

  1. Daudi1

    Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) yatangaza kuifungia JamiiForums

    Kwani Picha nani kuvujisha? Hakukuwepo waliopatikana ikulu wakati wa ule mkumbatio hatukuwepo kwanini tuhukumiwe kwa kupata hizo taarifa? Dah! Sasa Polepole tutapata wapi taarifa zake?
  2. Daudi1

    Wazanzibari hawataki muungano wanawafukuza wabara visiwani kwao

    Sasa itakuaje Wapemba wanaoishi huku Bara? Mimj sioni hata huo umuhimu wa muungano
  3. Daudi1

    Kuna jambo la msingi nataka kuwafundisha humu

    Mwaga madini tujue hizo roho zina nguvu kiasi gani
  4. Daudi1

    Jezi ya Simba vs Yanga

    Hahaha No ukwaju haipo
  5. Daudi1

    Chivayo 'Mwizi wa Uchaguzi’ na ‘Kipenzi' cha wanasiasa Barani Afrika, ameshatia mkono na kwetu?

    Mwanamke lazima akae kwa adabu mbele ya mwanaume usisahau mama amelelewa kimaadili,
  6. Daudi1

    Kwanini kusiwe na sheria ya mtu kuchagua dini/dhehebu akifikisha miaka 18?

    Muda mwingine sijui huwa mnawaza nini? Kwahiyo huyo mtoto hata shule asipelekwe mpaka atakapofikisha miaka 18 ndio achague asome au asisome? Mbona mbona siasa watoto wanafundishwa wakiwa wadogo? Mbona kuna watoto wanarithishwa ushabiki wa simba na yanga mpaka majez wanunuliwa? Iweje kwenye imani...
  7. Daudi1

    Kitimoto inaliwa na wenye pesa tu!

    Wenye pesa wanaanzia sh.ngapi, ili nione najiweka kundi gani maana ninakula sana
  8. Daudi1

    Tume yaondoa fomu za uteuzi wa Wagombea Urais kwenye Ubao wa matangazo

    Maigizo mengi, kwani kuondoa fomu ndio mpaka Muite waandishi?
  9. Daudi1

    José Mourinho atemwa na Fenerbahçe baada ya kushindwa kufuzu Ligi ya Mabingwa Ulaya

    Ajipike muda unamruhusu zama zake zimeisha
  10. Daudi1

    GE2025 CCM na ze comedy ni Abdallah na Dullah au Ismail na Suma

    Wanaposema sema tusichanganye dini na siasa huwa nashindwa kuelewa
Back
Top Bottom