Recent content by Daudi1

  1. Daudi1

    JamiiForums Tanzania Nchi yetu ina watu duni mpaka wanagombania bagia za bure?!

    Dah nimesikitika sana na mbeya yangu
  2. Daudi1

    JamiiForums Tanzania Mapenz ni uzushi!

    Kama huna wa kukupenda jikaushe tu, kaa na usingle wako ila usiseme eti usingo ni raha hakuna raha yoyote ya usingo
  3. Daudi1

    JamiiForums Tanzania Boksi la ajabu ladaiwa kutelekezwa barabarani Mwenge, Dar es salaam

    Hahaha hata wakificha tayari ukweli unakuwa umejulikana
  4. Daudi1

    JamiiForums Tanzania Boksi la ajabu ladaiwa kutelekezwa barabarani Mwenge, Dar es salaam

    Natamani hilo boks likutwe na vipeperushi vya kuhamasisha Haki na uhuru
  5. Daudi1

    JamiiForums Tanzania Mwanahalisi: Nchimbi agoma kujiuzulu

    Mmmh mpaka ameitwa kwenye kamati maadili
  6. Daudi1

    JamiiForums Tanzania Kuhusu kamera za SGR kutofanya kazi, TRC wawaondoa wasiwasi wananchi, wasema zinafanya kazi!

    Wanamaanisha jamaa hajaibiwa
  7. Daudi1

    JamiiForums Tanzania Hivi zile pisi kali zinazouza juice Kariakoo zinajiendesha zenyewe kweli?

    Kwani si umesema wanafanya biashara ya juisi, kwanini uwawazie mabaya, hata akiwa na sponsor kuna shida gani Mkuu au tongoza mmoja uwe sponsor wake ili mambo yasiwe mengi bwashee
  8. Daudi1

    JamiiForums Tanzania Nasra Ramadha: Raia hawajaichoka CCM

    Mbona hata hapo hajibu maswali ya ndugu mwandishi anajikanyaga tuu
  9. Daudi1

    JamiiForums Tanzania Ahmed Ally; nitaingia na ungo uwanjani

    Uchawi unatukutuzwa sana
  10. Daudi1

    JamiiForums Tanzania Bakari Shime,inatosha jiuzilu.

    Upewe wewe sasa
  11. Daudi1

    JamiiForums Tanzania Ongezeko la wanawake kukosa heshima kwa waume zao nini kipo nyuma ya haya yote?

    Ni kwasababu kuna jitihada za makusudi kuhakikisha jinsia ya kiume inakuwa chini, kuanzia kwenye sheria za nchi na vyombo vyote vinavyohusika na ustawi wa jamii kwa kumuona mwanaume ndio chanzo cha migogoro,
  12. Daudi1

    JamiiForums Tanzania Rais Samia amefanya makubwa kuliko Marais wote Tanzania ila vijana wameharibiwa na Mange Kimambi

    Hakika takwimu zinambeba, ndio raisi ameua maelfu ya watanzania ili abaki madarakani, haswa ni kweli takwimu zinambeba ni rais ambaye ameshinda kwa kishindo kikubwa asilimia 98% lakini bado anaomba maridhiano sijui kwa nini, Hivi Bwawa la Nyerere limefikia wapi, tulitakiwa tuwe tunauza umeme...
  13. Daudi1

    JamiiForums Tanzania Mwabukusi Anatukana Kwao Kwa kusema " Mbeya Sio Jiji ni Mkusanyiko wa Vijiji Vikubwa,Haina Miundombinu na Mzunguko wa Pesa ni Mdogo"

    Unaongea pumba tu, na kitakwimu yako ya kwenye makaratasi, wenye mbeya ndio tunaijua mbeya yetu, unasema wizara ya kilimo ina mahusiano gani, kwani hujui kwakuwa ikulu imehamia Dodoma serikali inaboresha miundo mbinu ya barabara na kuhakikisha Dodoma inakuwa na hadhi, nilijua unatumia akili...
  14. Daudi1

    JamiiForums Tanzania Ubinadamu ni kazi sana

    Kama ulivyosema unampambania mwanamke mzuri ukishampata na kulala naye baadaye unamuona wa kawaida, unapambana kutafuta pesa ukishazipata ni za kawaida
  15. Daudi1

    JamiiForums Tanzania Ubinadamu ni kazi sana

    Hayo yote ni ubatili mtupu
Back
Top Bottom