Recent content by Daudi1

  1. Daudi1

    JamiiForums Tanzania HOJA Pale Kariakoo tuvunje shule ya Benjamin Mkapa na Uhuru mchanganyiko ili tupate eneo la Parking

    Na shule ilikua hivyo hivyo
  2. Daudi1

    JamiiForums Tanzania Nimemtongoza kaamua kuniblock WhatsApp

    Wewe ulishindwa hata kuongelea habari za simba na yanga Huyo ana mtu ambaye hamuelewi elewi, kwa hiyo alipokuambia msizungumzie mapenzi anataka akuweke wa rizevu siku wakitibuana anakuja kupulia kwako ishi kwa akili
  3. Daudi1

    JamiiForums Tanzania HOJA Pale Kariakoo tuvunje shule ya Benjamin Mkapa na Uhuru mchanganyiko ili tupate eneo la Parking

    Kwani usiseme kiwanda cha bia hapo kitoke, kiwanda kinakaaje mjini
  4. Daudi1

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini chudai za kibongo kila moja yake imejaa miharo na vinyesi

    Chudai ndio nini hivyo
  5. Daudi1

    JamiiForums Tanzania Nukuu ya leo 01

    Heshima huleta hicho chochote ni muhimu kuilinda
  6. Daudi1

    JamiiForums Tanzania Uchawi kwenye ujenzi wa majumba upo, umeshawahi kukutana nao?

    Kuna wanaosema uchawi hamna
  7. Daudi1

    JamiiForums Tanzania Uchawi kwenye ujenzi wa majumba upo, umeshawahi kukutana nao?

    Ikawaje?
  8. Daudi1

    JamiiForums Tanzania Je,ni kweli wakiristo wanamfuata Yesu?

    Marko 16:16 [16]Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.
  9. Daudi1

    JamiiForums Tanzania Je,ni kweli wakiristo wanamfuata Yesu?

    Mathayo 28:19 [19]Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;
  10. Daudi1

    JamiiForums Tanzania Hebu nikueleze jinsi wasanii wanavyojikuta wanaingizwa mishkaki makalioni bila kutarajia

    Mishikaki ya ng'ombe, kuku, mbuzi, au unaongelea kuingiliwa kinyume na maumbile?
  11. Daudi1

    JamiiForums Tanzania Lissu, alikuwa hajui kuwa anacheza na moto akili itakaa sawa

    Unapoandika kwa mihemko, hao maboss wote watatu waliomba udhuru wako nje ya nchi, usimchukulie poa, si umeona askari walivyoona kizimba cha moto, huyo Katuga kafundishwa somo hapo anaomba kesi iishe tu apumzike
  12. Daudi1

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Vijana wa JKT wajirekodi na kusema wakikuta mtu akiandamana watamdhuru

    Wakishapigika mwaka mmoja tu wataishia kwenye kubet
Back
Top Bottom