Wewe ulishindwa hata kuongelea habari za simba na yanga
Huyo ana mtu ambaye hamuelewi elewi, kwa hiyo alipokuambia msizungumzie mapenzi anataka akuweke wa rizevu siku wakitibuana anakuja kupulia kwako ishi kwa akili
Unapoandika kwa mihemko, hao maboss wote watatu waliomba udhuru wako nje ya nchi, usimchukulie poa, si umeona askari walivyoona kizimba cha moto, huyo Katuga kafundishwa somo hapo anaomba kesi iishe tu apumzike
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.